Mchezaji wa zamani wa Liverpool na Kocha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ufaransa, klabu ya Lyon, PSG na Aston Villa, Gerard Houllier amefariki akiwa na miaka 73.
Houllier aliiongoza Liverpool kushinda kikombe cha FA, kombe la Ligi na UEFA Cup na kuwezesha timu hiyo kushinda makombe matatu (treble) mwaka 2001, alidumu Anfield kwa miaka 6 tangu mwaka 1998 mpaka 2004.
Baada ya kuitumikia Lyon kwa kipindi cha miaka 2 Houllier alirudi katika Ligi ya Epl na kuchukua nafasi ya Martin O’Neill kama kocha wa Aston Villa. Alijiuzuru nafasi hiyo mwezi juni mwaka uliofuata baada ya kupata ugonjwa wa moyo.
Houllier Ametumikia nafasi ya ukocha kwa miaka 38, pia amefundisha timu ya Taifa ya Ufaransa, klabu ya Lyon na Paris Saint-Germain ambapo alishinda taji la Ligue 1 mwaka 1986 -Taji la kwanza kati ya Mataji 9 ya PSG.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Hopemwaikuka
Rest well legend
Dorophina
Rip houllier
Mwanahamisi
Rip houllier
Rahma
Ri.p houllier
Caroline
R.I.P
Sarah
R.i.p
Issa
Rip legend
Lydia Emmanuel Magoti
Rip
Ernest
Rest easy Legend, see you there.
Janeflora malisa
RIP
Saupha mohamed
Rip
samiah
Rip
farida ahmad
Pumzika kwa amani
Tatu
Rip
warda
Apunzike kwa Amani