Licha ya kuhusishwa na vilabu kama Arsenal, Juventus na PSG, tulishuhudia Houssem Aouar akibaki Olyimpique Lyonnais kwa msimu mwingine.
Uwezo wake wa kutawala safu ya kiungo ni kati ya vitu vikubwa alivyonavyo kiungo huyu wa Lyon na Timu ya Taifa ya Ufaransa.
Tukiangalia hali ya sasa kwa vilabu vilivyokuwa vinaiwania saini yake, haipishani sana na hali ya Lyon licha ya kwamba timu hiyo haichezi Ligi ya Mabingwa msimu huu baada ya kumaliza katika nafasi ya 6 kwenye msimamo wa Ligue 1 msimu uliopita.
Akizungumza na RMC, Houssem Aouar amesema “sioni inawezekanaje nikose furaha kwenye mji wangu, klabu yangu [Lyon]. Ni kitu ambacho sikielewi. Ninafurahi kuwepo hapa, niliamua kubaki kwenye klabu yangu. Ninachokitaka ni kuiweka timu hii kwenye nafasi yake, nikishirikiana na wachezaji wenzangu.
“Tunamalengo makubwa msimu huu. Ninaongea sana na uongozi wa klabu pamoja na kocha, ulikuwa ni wakati wa kawaida tu [kuhusishwa na vilabu vingine].”
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




warda
Houssem kwa kweli anaipenda sana Lyon
Rahma
Nic
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Sarah
Good
Issa
Kiungo bora sana kubaki lyon
Magdalena
Hawezi kujutia sababu ndo panampa furaha
Aziza mushi
Namkubali Sana achaa abaki tu Lyn.
Tatu
Ana mapenzi ya dhati na Lyon
Hopemwaikuka
Angalia furaha yako
aisha
Ni jambo la maana sana
Ernest
Ngoja tuone
Sabrina
Houssem amependa mwenyewe kusalia lyon
felister
safi
Mwanahamisi
Vizuri
Ester jackson
Nangoja kuona
Khadija
Nice
samiah
Nice