Jadon Sancho akiwa na Borussia Dortmund msimu huu huko Bundesliga:
❍ Magoli 17
❍ Assists 16
🏟 Mechi 27
Jadon Sancho ndiye mchezaji wa kwanza wa Kiingereza kufunga mabao 15+ na kutoa Assists 15+ katika msimu mmoja wa ligi katika moja ya ligi kuu tano kubwa Ulaya tangu Matthew Le Tissier mnamo 1994/95 (Magoli 19 na Assists 16)
Hat trick ya hii leo inamfanya Sancho kufikisha mabao yake 17 ndani ya Bundesliga msimu huu na Assist yake moja inamfanya kufikisha pasi za mabao 16, na kumfanya kuwa mchezaji wa kwanza tangu mwanzo wa ukusanyaji wa takwimu za kina (2004-05) Kufunga mabao 15+ na kutoa Assists 15+ katika msimu wa Bundesliga.
Lombo
Jadon yuko vzur namkubali sana
Caroline
Jadon Sancho yupo makini
David pere
Hii winger no hatari sana akiwa uwanjani
dorophina
Ni winger hatari sana akiwa uwanjani
Gabriel
Kutokana na hat trick hii Jadon Sancho amevunja record thnx @ meridianbett 4 upadate
Amani
Hat trick ya hii leo inamfanya Sancho kufikisha mabao yake 17 ndani ya Bundesliga msimu huu pia Ni mwingereza ambaye akukubalika nyumbani Ila mpka Sasa timu kibao za epl zinamuitaji ikiwa man u#meridianbettz
Povel
Ni mmoja Kati ya waingereza na ulaya wanaofanya vzr sana thnks meridian kwa update
Mwajuma
Kwa up date hii winger huyu anaonekana nimzuri sana kwa hat trick 15 na magoli 15 kwa msimu mmoja
Magdalena
Yupo vizuri ingependeza Kama na wachezaji wengine wakaiga mfano kutoka kwake
Hamidu
Dogo mkali wa pass za mwisho …tunamsubil man utd..
Lydia Emmanuel Magoti
Anajua dogo huyo Jadan Sancho anajua kupambana
Furahav
Hii habari iko poa.
mwakalosi
huyu dogo yuko vizur lakini akilewa sifa kama kina kichuya kapotea
Genia Sikaluzwe
Nabii uwa akubariki kwao,naona bora aendelee kucheza uko uko,
Latifa juma mohamed
Ni mmoja Kati ya mchezaji wa kiingereza yupo vzr uwanjani ,ahsante team meridianbet tz kwa habar njema.
Samiah
Dogo yupo vzr lkn asilewe sifa km kina shabalala
Salma
Yupo vizuri
Juliana
Sancho ni mfungaji hodari kwa msim huu
Ester jackson
Hatari yuko vizuri pia awe makini sana asipewe sifa sana mana atajisahau
Hope mwaikuka
Jadon nomaa
Elika
Mtu makini sana..namkubali sana
Mwanaidi
Jadon ni mchezaji mahiri sana namkubali sana
winfrida
pongezi kubwa kwako sancho ila endelea tu kukaza
Rehema Dickson
Sancho kufikisha mabao yake 17 ndani ya Bundesliga msimu huu pia Ni mwingereza ambaye akukubalika nyumbani Ila mpka Sasa timu kibao za epl zinamuitaji ikiwa man
Devotha
Sancho ni mchezaji mzuri sana
Mariam mtandama
Habari mjema
Antony Luseno
Sancho mafanikio yameanza vyema kwake ki kubwa ni kujituma sana
Neema hassan
Sancho jembee#meridianbettz
felister
Jason ndiye mchezaji wa Kwanza wa kiingereza kufungwa mabao 15
Adelta
Jadon Sancho namkubali sana
aisha
Na muelewa sana jadon sancho
Neema juma
Katishaaa sana kijana yuko vizuri
Warda
Sancho atatisha sana badae#Meridianbettz
Isaya massawe
Sancho noma sana anafanya vizuri sana
Evaluziga
Dogo yupo vizuri tunamsubili MAN U
Theckla
Jadon yuko vizuri sana
Emmy cleopa
Habar njema
Frank Patrick
Angekuwa EPL mchezaji bora wa msimu huyo na angeongelewa kupita maelezo
Shafii
Yuko vizuri huyu jamaa
Asia Abdy
Mtu mmbayaa namkubal sana
Kenani
Mtu mbaya
Mwanahamisi
Jason mtu mbaya
Ernest
Mimi namuita Sancho Mnyama, Mwamba mtu mbaya.
Rehema
Huyo mtu ni mbaya