Inter Milan wanaongoza mbio za kumsajili Divock Origi kutoka Liverpool – kulingana na Calcio Mercato – Antonio Conte anataka kumsajili msaidizi Romelu Lukaku, ambaye amekuwa katika kiwango bora kwa kufunga mabao 15 katika mechi 17 msimu huu.
Wolves na Newcastle pia wamehusishwa na mshambuliaji huyo wa Kimataifa Ubelgiji, ambaye anaonekana kutaka kuondoka viunga vya Anfield katika mwaka huu mpya.
Inaaminika kuwa Majogoo nao wako tayari kuachana na shujaa wao wa Ligi ya Mabingwa Januari hii na wanasikiliza ofa kwa mshambuliaji huyo wakati Jurgen Klopp akitafuta pesa za kusajili beki.
Origi ataungana tena na raia mwenzake Romelu Lukaku ikiwa atajiunga na Inter Milan, ambao wanaangalia uwezekano wa mkataba wa mkopo.
Origi, aliyejiunga na Liverpool kwa pauni milioni 10 mwaka 2014 akitokea Lille na ana Mkataba hadi 2024, ni kipenzi thabiti cha mashabiki Anfield kwa misimu miwili iliyopita, lakini amecheza mara nane tu kwenye mashindano yote msimu huu.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Sania
Safi Inter milan
Mwanahamisi
Noma sana inter
Dorophina
Inter wakimpata huyo mchezaji itakuwa poa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii lnter
Angelina
Itapendeza kama watapata sain yake
Rahmal
Vizuli sana lnter itapendeza
Magdalena
Milan naona hawataki mchezo kabisa
Shakila mrope
Vizuri san intermilan
Hopemwaikuka
Fresh tu
Chiku
Wameamua kujipanga kiakili
Ernest Kimeru
Itakuwa Deal zuri kwa Orig
Issa
Orig jembe
Khadija
Nice
warda
Wakaze buti tu
Sabrina
Itapendeza
Chiku
Wakazane tu