Inter Milan imepiga chini ofa ya £54m kutoka Paris Saint-Germain kumhusu Mauro Icardi, na kuiacha Chelsea kwenye mbio na kuwania saini ya straika huyo.
Icard, 27 kwasasa yupo PSG kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Inter na klabu hiyo ya Ufaransa wanataka kumbakisha baada ya kufunga magoli 12 kwenye mechi 20 za Ligue 1.
Inter wapo tayari kumuuza, lakini wameweka dau la £62.7m na hawataki mazungumzo.
PSG walipeleka ofa ya £44.7m na nyongeza ya £8.9m kulipwa kwa awamu kutokana na kiwango cha Icardi, lakini Inter hawakupendezwa nayo. na mchezaji ana mkataba hadi 2022.
Chelsea wanataka kuongeza nguvu kwenye kikosi chao kipindi hiki cha kiangazi, wakati Frank Lampard anataka kuongeza machaguo ya washambuliaji na uhamisho wa Icard unaonekana ni mtu sahihi.
Inter wamekataa ofa ya PSG lakini bado wana nafasi ya kumsajili, lakini wataweza kuweka zaidi ya £60m kwaajili ya straika na hali ya sasa ya uchumi?
Muargentina huyo ana takwimu nzuri za kufunga akiwa Inter kwani amefunga magoli 111 kwenye mechi 181 akiwa Italia, alipewa unahodha mwaka 2015 akiwa na miaka 22.
Lombo
Asante meridianbet kwa update
Aziza mushi
Asanten meridian kwa habari
Antony Luseno
Akitua Chelsea itakuwa vyema sana
Theckla
Wamuache tu wasimuuze
Carolyne
Inter noma
Hamidu
Mario icard mchezaji nzuri Sana
Fanya maamuzi sahihi kubaki au kuondoka inter milan#meridianbettz
sylvester
P S G wapambane kumbakisha Icard kwani dizaini Juve hawamuhitaji tena ingawa nao Chelsea wanamuhitaji
Salma
Wanafanya wanachoona wapo sahihi
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa habari njema
Tahiya
Asante kwa taarifa
Asia Abdy
Uamuz ni wakwao
SADICK
Icardi mchezaji mzuri lakini kwasasa bei hiyo ni kubwa#Meridianbettz
frank patrick
Inter wakimuacha watakuwa wanayumba sana
Mwajuma
Bora abaki tu
Ester mmakasa
Asante kwa taarifa za kimichezo kama hizi.
winfrida
wamsain tu chelsea chama kubwa
mathayo sonje
Jambo la msingi sana, Chelsea wachangamkie fulsa hiyo, wasiliache jembe.
Shafii
Yuko vizuri jamaa
Povel
Thanks meridian bet tz kwa update
felister
wao ndo wenye uamuzi wa mwisho
Rehema Dickson
Ni uwamuzi wao na wanasababu zao
Mariam mtandama
Yuko vizur
mwakalosi
inter wakifanya masihara Icardi ataondoka bure wao pasipo kupata kitu
Lydia Emmanuel Magoti
Asantee meridian kwatarifa
dorophina
Yupo vizuri katika kufunga magoli inabidi PSG wamganganie asiondoke mkataba wake ukiisha
Adelta
Asante kwa taarifa meridianbet
Khadija
wamuache tu wasimuuze#meridianbettz
Neema hassan
Asante meridianbet kwa habari na burudani za michezo
Neema juma
Duuu asante meridianbet kwa kutujuzaa
Rehema
Asante kwa taarifa
Emmy cleopa
Ahasante kwa taarifa
Ernest
Jamaa yupo vizuri lazima na Dau liwe nono
Christopher
Icardi yupo vizuri lakini EPL hapawezi pale bora atulie tu huko PSG
Furahav
Icard yuko sawa.
Kenani
Psg wajipange sana
Agness
Asante meridian kwa taarifa
Evaluziga
Uamuzi ni wakwao wenyewe
Zeiyana iddi
PSG hawawezi kumuuza icardi
Samiah
Wajipange psg
Gabriel
Habar njema kwao tnx # meridianbet
Amani
mchezaji mzuri lakini kwasasa bei hiyo ni kubwa#Meridianbettz
Tatu
Asante kwa taarifa
Elika
Asanten meridianbet tunapata habari njema kutoka kwenu
Mwanaidi
Taarifa nzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Akitua Chelsea itakuwa safii
Magdalena
Chelsea changamkieni fursa acheni kulala
aisha
muacheni tuu msimuuze
Theonestina
Asante meridianbet kwa taarifa
Devotha
Asante kwa kutujuza
Asha
Gud news👍👍
Isaya massawe
Binafsi namkubali sana kijana huyu
Juliana
Mchezaji mzuri
Hidaya Mohammed
Kizuri kinajiuza chelsea waweke mzigo mezani
Ester
Akiemda Chelsea itakuwa powa sana