Inter Yaingia Mazima kwa Giroud.


Klabu ya Inter Milan ameazimia kumchukua mshambuliaji wa Chelsea, Oliver Giroud katika majira haya ya baridi ya dirisha dogo la usajili barani ulaya.

Uwezekano wa mshambuliaji wa Chelsea Olivier Giroud kuihama klabu hiyo ya london unazidi kua mkubwa baada ya Inter Milan kuonesha nia ya wazi ya kumsajili.

 

Habari za chini chini zinasema wakala wa Olivier Giroud Yuko kwenye mazungumzo na klabu ya hiyo juu ya uhamisho wa Giroud katika dirisha dogo la usajili mapema mwezi January mwakani.

Wiki chache zilizopita Giroud alinukuliwa akisema yupo na furaha kuendelea kuichezea klabu ya Chelsea endapo atapata nafasi zaidi ya kucheza katika kikosi cha kwanza, baada ya kufunga magoli 4 dhidi ya Sevilla katika Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.


BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!

INGIA MCHEZONI!

13 Komentara

    saf

    Jibu

    Jembe hiloo

    Jibu

    Itakuwa poa giroud akienda inter

    Jibu

    Nic

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Giroid rekod za kibabe

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Chelsea wamekiwa wakijiuliza mara mbili mbili juu ya kumuachia Giroud

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Haya sie yetu macho

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.