ISHU YA UKAME WA MABAO KWA KIBU DENIS UNA SURA HII

Wakati kiungo mshambuliaji wa Simba akipukutisha mwaka bila kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara, Legend kwenye masuala ya michezo Bongo na Kimataifa, Saleh Ally wengi wanamuita Jembe ameweka wazi kuwa hiyo sio kazi ya Kibu kufunga.

ISHU YA UKAME WA MABAO KWA KIBU DENIS UNA SURA HII

Ikumbukwe kwamba mara ya mwisho Kibu kufunga ilikuwa ni 5/11/2023 kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-5 Yanga.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Kibu alifunga bao hilo dakika ya 9 akitumia pasi ya Said Ntibanzokiza kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindni mkubwa zama za Miguel Gamondi.

ISHU YA UKAME WA MABAO KWA KIBU DENIS UNA SURA HII

Jembe amesema: “Kibu Dennis yeye kazi yake ni kuwatengenezea washambuliaji nafasi za kufunga na amekuwa akifanya hivyo kwenye mechi nyingi unaona namna ambavyo anapiga krosi na pasi zake kuwapa wengine.”

Kufunga sio kazi yake na ikitokea inakuwa ni bonus tu hiyo unaona namna alivyofunga dhidi ya Yanga na bao hilo likampa jina la mkandaji ila asingefunga angelaumiwa. Amerejea Simba na ameomba msamaha na amesamehewa ana kazi ya kuendelea kutimiza majukumu yake.

Acha ujumbe