Kutoka Italia, wachezaji sasa wataruhusiwa kusainiwa na klabu tatu katika msimu mmoja. Shirikisho la Soka Italia (FIGC) wamekubaliana na kujumuisha kwenye taratibu zao kuwa wachezaji wanaweza kuwakilisha vilabu zaidi ya viwili.
FIGC wameungana na maamuzi ya FIFA kuwa wachezaji waruhusiwe kuwakilisha timu tatu zaidi ya mbili katika msimu mmoja kama ilivyokuwa awali.
Maamuzi haya awali yalifanyika na FIFA mwezi Juni, katika kutafuta njia mbadala ya kuendana na athari za Virusi vya Corona ambazo kwa kiasi kikubwa zinapelekea mabadiliko makubwa ya mara kwa mara kwenye mechi, huku timu zikiwa na mizigo ya kukimbizana na ratiba ngumu ya mechi nyingi.
Chama cha Wachezaji Italia (AI) pamoja na Shirikisho la Soka Italia (FIGC) wametangaza kuwa utaratibu huu utaanza kutumika kwenye dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Issa
Habar njema
warda
Sio mbaya
Tatu
Wataweza kweli
Fatina mfingi
Litakuwa Ni jambo zuri
Mwanahamisi
Sio mbaya
Sarah
Jambo jema
Rahmal
Habari nzuli
Hopemwaikuka
Kama inawezekana fresh tu
Caroline
Hii itakua nzuri sana
Saupha mohamed
Jambo zuri
Angelina
Safi
Dorophina
Hii ipo vizuri sana itawasaidia wachezaji
David Pere
Maamuzi haya awali yalifanyika na FIFA mwezi Juni, katika kutafuta njia mbadala ya kuendana na athari za Virusi vya Corona ambazo kwa kiasi kikubwa zinapelekea mabadiliko makubwa ya mara kwa mara kwenye mechi, huku timu zikiwa na mizigo ya kukimbizana na ratiba ngumu ya mechi nyingi.
Zahara omary
Ni jambo jema kiukweli
Sania
Vizuri
Sabrina
Inapendeza