Ivan Toney Aingia Kwenye Rada za Spurs

Makala iliyopita
Bruno Guimaraes Bado Nipo NewcastleMakala ijayo
GAMONDI ATUMA UJUMBE MZITO SIMBA
Klabu hiyo kutoka London Kaskazini msimu uliomalizika haikua na msimu mzuri na moja ya maeneo ambayo yalichangia kuwarudisha nyuma ni eneo la ushambuliaji, Kwani klabu hiyo ni moja ya timu zilizotengeneza nafasi nyingi lakini hazikua zinatumiwa kwakua walikosa mshambuliaji mzuri.