Ivan Toney Kutimkia Saudia

Makala iliyopita
Simba Yaanza Vizuri NBC 2024/25Makala ijayo
Vardy Aipatia Leicester City Pointi 1 Nyumbani
Mshambuliaji huyo leo hakua sehemu ya kikosi ambacho kimecheza mchezo wa kwanza wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Crystal Palace na kupata ushindi wa mabao mawili kwa moja, Kocha wa klabu hiyo Thomas Frank akikiri kuna suala la linaendelea kwa mchezaji huyo ndio maana wameamua kutokumueka kwenye kikosi leo.