Hakika umri ni namba tu. Mchezaji wa Rangers, Jermain Defoe ameripotiwa kutokuwa na mpango wa kutundika daluga baada ya msimu huu.
Licha ya kuwa na umri wa miaka 38, Defoe bado anauchu wa kucheza mbele ya mashabiki msimu ujao na huenda akaendelea kubaki klabuni hapo kwa msimu mmoja zaidi.
Mapema wiki hii, kocha wa Rangers, Steven Gerrard aligusia uwepo wa mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Jermain Defore klabuni hapo kuanzia msimu ujao.
Kwa mujibu wa Jermain Defoe, lengo lake ni kumaliza msimu huu kwa mafanikio zaidi na mambo mengine yatafuata baada ya msimu huu kumalizika.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!
Umri sio tatizo cha msingi nguvu bado anayo basi haina budi kuendelea kwenye game
Mwacheni apumzike ale matunda yake
Jamani huo ni umri mdogo sana hizo ni namba endeleeni kucheza Mpaka hapo hatakapoamua au uongozi km hawamtaki ni sawa#meridianbett
Umrii wake bado
Bado sana
Bado ana nguvu za kutosha
Asante kwa makala
Umri ukifika astafu awaachie chipukizi
Asante kwa taarifa
Makala safi
Kama bado ana nguvu aendelee tu kisakata rumba
Vizuri
Aendeleee kusakata kabumbu
Mwache acheze Tu ligi zisizokua na ushindan
Bado sanaaa