Hakika umri ni namba tu. Mchezaji wa Rangers, Jermain Defoe ameripotiwa kutokuwa na mpango wa kutundika daluga baada ya msimu huu.
Licha ya kuwa na umri wa miaka 38, Defoe bado anauchu wa kucheza mbele ya mashabiki msimu ujao na huenda akaendelea kubaki klabuni hapo kwa msimu mmoja zaidi.
Mapema wiki hii, kocha wa Rangers, Steven Gerrard aligusia uwepo wa mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Jermain Defore klabuni hapo kuanzia msimu ujao.
Kwa mujibu wa Jermain Defoe, lengo lake ni kumaliza msimu huu kwa mafanikio zaidi na mambo mengine yatafuata baada ya msimu huu kumalizika.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!
Elika
Umri sio tatizo cha msingi nguvu bado anayo basi haina budi kuendelea kwenye game
[email protected]
Mwacheni apumzike ale matunda yake
Johnmary jo
Jamani huo ni umri mdogo sana hizo ni namba endeleeni kucheza Mpaka hapo hatakapoamua au uongozi km hawamtaki ni sawa#meridianbett
Saupha
Umrii wake bado
Khadija
Bado sana
Adelta
Bado ana nguvu za kutosha
neema hassan
Asante kwa makala
Venerose
Umri ukifika astafu awaachie chipukizi
Caroline
Asante kwa taarifa
Saupha
Makala safi
Magdalena
Kama bado ana nguvu aendelee tu kisakata rumba
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Sania mapua
Aendeleee kusakata kabumbu
Amiri Kayera
Mwache acheze Tu ligi zisizokua na ushindan
aisha
Bado sanaaa