Joan Laporta Raisi Mpya Barcelona.


Aliyekuwa Rais wa klabu ya Barcelona mwaka 2003-10, Joan Laporta ameshinda nafasi ya kiti cha Urais ndani ya klabu ya hiyo kwa mara ya pili .

Joan Laporta ambaye moja ya sera zake ilikuwa ni kuhakikisha nyota na gwiji wa klabu hiyo Lionel Messi anabaki klabuni humo ameshishinda kwa zaidi ya asilimia 54 ya kura, mwenye umri wa miaka 58 alishinda Victor Font (asilimia 29.99) na Toni Freixa (asilimia 8.58) kupata muhula wake wa pili kwenye uongozi.

Laporta mwenye umri wa miaka 58, alifanikisha usajili wa Ronaldinho Gaucho , na pia alikuwa Rais ambaye alimpa kazi Pep Guardiola , aliwahi kuiongoza Barca kuanzia 2003-2010.

Amechekua nafasi ya Josep Maria Bartomeu ambaye alijiuzulu Oktoba mwaka jana .Victor Font ameshika namba mbili na Toni Freixa namba tatu katika uchaguzi huo.


Ni Burudani Iliyokithiri na Mkwanja Nje Nje Katika Mchezo Halisi wa Chicago Gold.

Fanikisha malengo yako bila kuumiza kichwa, tengeneza mkwanja bila wasiwasi na kasino za Meridianbet. Jiunge sasa Ufurahie Chicago Gold kasino.

CHEZA HAPA

 

8 Komentara

    Wawoo hongera yake

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Anakazi kubwa kumbakisha Messi na kujenga timu upya

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Nakutakia kaz njema

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

Acha ujumbe