Stoke City inayoshiriki Ligi ya Daraja la Kwanza nchini Uingereza (Championship) imemsajili nahodha wa zamani wa Super Eagles ya Nigeria, John Mikel Obi, 33 kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Mikel ambaye pia amewahi kuvalia jezi za Chelsea, alisalia bila klabu baada ya kuagana rasmi na Trabzonspor ya Uturuki mnamo Machi 2020.
Kusajiliwa kwa Mikel kunatokea siku mbili baada ya kukiri kwamba alikuwa radhi zaidi kurejea kusakata soka ya Uingereza.
Akiwa mwanasoka wa EPL, Mikel aliwajibishwa na Chelsea mara 249 katika kipindi cha miaka 11.
Aliondoka uwanjani Stamford Bridge mnamo 2017 baada ya kushindia waajiri wake ufalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), mataji mawili ya EPL, makombe matatu ya FA na taji moja la Carabao League Cup.
Baadaya kukatiza uhusiano na Chelsea, aliyoyomea China kuvalia jezi za Tianjin TEDA kabla ya kuingia katika sajili rasmi ya Middlesbrough nchini Uingereza kwa kipindi kifupi mnamo 2019.
Hadi alipotangaza kustaafu rasmi kwenye soka ya kimataifa, Mikel alikuwa amewajibishwa na timu ya taifa ya Nigeria mara 89.
Aliongoza kikosi hicho cha Super Eagles kwenye fainali mbili za Kombe la Dunia na akakisaidia kunyanyua ubingwa wa Kombe la Afrika (AFCON) mnamo 2013 nchini Afrika Kusini.
Stoke City walisajili ushindi kwenye mechi tatu kati ya nne za mwisho katika kivumbi cha Championship msimu huu wa 2019-20 na kukwepa shoka ambalo vingnevyo lingewateremsha ngazi hadi Daraja la Pili (League One).
Kikosi hicho kiliambulia nafasi ya 15 chini ya kocha wa zamani wa Ireland Kaskazini, Michael O’Neill.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.
Ester jackson
Habari njema sana
David Pere
Atawasaidia sanaa maana jamaa anajua sanaa
rama
Maoni:vizuri asaidie stoke iweze ludi EPL
felister
jamaa anawajua atawasaidia
Neema
Safiii sana jembe
Sadick
Mikel Obi anakumbukwa darajani kwa uwezo wake wa kukaba zaidi hakuwa na uwezo wa kupiga pasi kusaidia timu kupata goli#meridianbettz
Fatuma kasomo
Yupo vizuri
Antony Luseno
Karibu tena England Mr obi
Omary lukumbi
Habar njma kwa stoke city
Edgar
Makala nzur asante kwa iyo
Saupha mohamed
Jamaa yupo vizuri
Magdalena
hizi ni habari njema kwa stoke city
Adelta
Kila la kheri Mikel obi katika Misha mapya ndani ya stoke city
Johnmary joel
Nenda kapambane#meridianbett
Devotha
All the best
Shan
Makini sna
Latifa juma mohamed
Habari njema
gabriel
John Mikel Obi ni mchezaji mzur sana
Sabrina
Hongera sana stoke City wamempata mchezaji mzuri
Hope mwaikuka
Jong namkubal sana
farida ahmadi
Kila la kheri John
Issa
Obi mikel ni safi kujiunga huko
Shafii
Mkongwe huyo kutokana na uzoefu wake wa mda mrefu ni msaada tosha kwa stoke city.
Povel
Kila la kheri MUHENGA obi Mikel ss mashabik wako tunakudai kwny soka bado
Janeflora malisa
Good
Samiah
Gud
Theckla
Imekaa poa
Mwajumah
Habari njema sana#Meridianbettz
Nasra
Kila la kheri
Fatina mfingi
Kila la kher
Ernest
Naona Obi anamalizia ,alizia soka lake sasa
Khadija
Habari njema sana
Dorophina
Mikel Ni talent player atawafaa
Mwanahamisi
Kila la kheri
Zeiyana
Yupo vizuri sana john obi
aisha
Yuko vizuri sana napia naamini atawasaidia mnoo
Lydia Emmanuel Magoti
Jamaa yupo vizuri
marry
nice
Furahav
Hongera sana.
Amiri Kayera
Mwamba bad yupo yup san
warda
City wamepata Kifaa
Tatu
Mikel anaenda kufanya maajabu huko stoke city na kuonyesha uwezo wake