Orodha ya wachezaji majeruhi kwenye klabu ya Liverpool bado inaendelea kushika hatamu. Nahodha wa klabu hiyo – Jordan Henderson, ameongezeka kwenye orodha hiyo.
Liverpool wanaendelea kutaabika kwa kuwakosa baadhi ya wachezaji wao wa muhimu kwenye kikosi cha kwanza. Hadi sasa tayari Virgil van Djik, Joe Gomez, Fabinho na Joel Matip ni majeruhi wa muda mrefu.
Taarifa rasmi kutoka Liverpool imeripoti kuwa, Jordan Henderson ameshafanyiwa upasuaji na sasa atakuwa nje ya uwanja. Hakuna muda sahihi uliopangwa kwa kiungo huyu kurejea uwanjani lakini huenda akarejea baada ya michezo ya kimataifa (Machi 22-31).
Hili ni pigo kwa kocha – Jurgen Klopp ambaye anaendelea kuwakosa mihimili ya timu yake kwenye safu ya ulinzi na kiungo. Nani ataokoa jahazi la Liverpool msimu huu??
TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.
Adelta
Pole yake
Caroline
Pole yake
Neema juma
Duu pole yake
Sadick
Liverpool inakabiliwa na mtihani mkubwa sana kutetea ubingwa kutokana na kuwa na wachezaji wengi majeruhi
Rahma
Pole sana
Angelina
Habari mbaya
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake
Sarah
Daah pole yake
Hopemwaikuka
So sad
warda
duuuu parefu