Meneja ya Liverpool, Jurgen Klopp amepewa tuzo ya Meneja wa Chama cha Mameneja wa Ligi (LMA) kama meneja bora wa mwaka.
Klopp alisimamia vyema kampeni ya Liverpool, akiwaongoza kwa rekodi ya jumla ya alama 99 na kuwapatia taji la EPL kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30.
Kwa msimu mzima, Liverpool walipoteza michezo mitatu tu ya Ligi Kuu na kumaliza alama 18 zaidi ya Manchester City walioshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.
Baada ya kuwasilishwa kwa taji lililopewa jina la Sir Alex Ferguson Trophy, likiwa limepewa jina la meneja wa zamani wa zamani wa Manchester United, Klopp alisema:
“Nimefurahia sana kutajwa kuwa mshindi wa tuzo hii ya muhimu ya Sir Alex Ferguson Trophy, iliyopewa jina la mtu kuwa ninampenda sana.”
“Ninahisi hii ni maalum sana kushinda tuzo hii kwa sababu imepigiwa kura na mameneja wenzangu.”
“Ni heshima kuwa katika miongoni mwa mameneja wengi ambao wametajwa kama Meneja wa LMA wa miaka iliopita, wakiwemo wasimamizi wa Liverpool kama Bill Shankly, Bob Paisley, Joe Fagan, Kenny Dalglish na, katika miaka ya hivi karibuni, Brendan Rodgers.”
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Cheza Hapa Sasa
Zeiyana
Klop ni kocha wa aina yake tokea alipotokea anastahili kua kocha bora tunafaham maajabu yake.
Antony Luseno
Anastahili kwa kweli liver kwa pamoja wamejitahidi
warda
Hongera yake#Meridianbettz
Rose kapinga
Pongez kwake asilewe sifa aongezee bidii katika kaz
felister
anastahili klopp kwa kupewa tuzo iyo
farida ahmadi
Hongera Sana klopp ni kocha bora sana
Ester jackson
Ni furaha ilioje kwa kocha kloppa kupata tunzo hiyo yuko hivo tu bila ya kutajwa jina lake he aliye andikwa jina Sir Alex Ferguson Trophy kama tunzo yeye anajisikiaje nifuraha sana kuona bado anasamani sana kwenye timu hiyo .
JULIANA
Kweli ni kocha mwenye sifa zake
Lydia Emmanuel Magoti
Jurgen Klopp nikocha mzuri anaejua nn anakifanya kwenye kaz yake nikocha wadizaini yake mpaka kupewa tuzo anastairi kwalicho kifanya Klopp sio kazi laisi kwakweli kapambana zaidi nazaidi akushindwa
Neema juma
Anastahili pongezi huyu kocha
Omary lukumbi
Hongera sana klopp
Tatu
Klopp ni kocha mzuri na anayejituma kwa maslah ya timu anastahili pongezi
mwajumah
Namkubali sana Klopp hongera zake
aisha
Big up kwa klopp uko vizuri baba mpaka umekua meneja wa LMA
Zuhura omary kindamba
Hongera kwake jurgen klopp
sauda
Pongezi zimfikie huko alipo
Janeflora malisa
Honger kwak
Ernest
Pongezi kwa Klopp amestahili baada ya ya mafanikio aliyoyapata kwenye ligi msimu huu
Tahiya
Klopp anastahili iyo tuzo ongera kwake na timu kwa ujumla
Issa
Kloop mzee wa record
Magdalena
Klopp kafanya kazi kubwa mpaka kuipatia Liverpool ubingwa ambao waliusaka takribani miaka mingi anastahili kupewa pongezi
sauda
Anastahili kabisa..
Latifa juma mohamed
Pongezi Sana kocha klopp ,ulifanya jema Sana after number of years leo Liverpool kuinika kidedea , unastahil pongez
Salma ngende
Hongera yake
Dorophina
Klopp anastahili kupata hiyo tunzo ameipandisha sana liver kufika sehemu sahihi
Flomena
Ni heshima kuwa katika miongoni mwa mameneja wengi ambao wametajwa kama Meneja wa LMA wa miaka iliopita, wakiwemo wasimamizi wa Liverpool kama Bill Shankly, Bob Paisley, Joe Fagan, Kenny Dalglish na, katika miaka ya hivi karibuni, Brendan Rodgers.”
caroline
duhh kweli klop manager wa mwaka..
Frank Patrick
Cool father Klopp
Furahav
Ni aki yake kupata hiyo tunzo.
sabrina
klopp anastahili tuzo
Hope mwaikuka
Anastahil hii
Amiri Kayera
Pongez kwake
Gabriel
Habar njema
Fatuma kasomo
Hongera yake
mwajumah
Hongera yake
Theckla
Pongezi kwake
Povel
Hongera kwake
tumaini
Maoni:Hongera kwake
jullie
Akumbuke ligi inaanza soon asilewe ifa
Samiah
Mzee wa rekod kopp
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Asia Abdy
Good
Rehema
Hii ni habari njema
Mwanahamisi
Pongezi kwake
David Pere
Amestahili kupata hiyo tuzo
Khadija
Hongera yake#meridianbettz
Sadick
Klopp deserve LMA#meridianbettz
devotha
Klopp anastahili kupata tuzo hiyo