Licha ya yota wa Juventus na timu ya taifa ya ureno Christiano Ronaldo kukosa penati kwenye mchezo wa marudiano wa kombe la italia lakini timu hiyo ya Juventus imefanikiwa kutinga hatua ya fainali kwa faida ya goli la ugenini, ambapo kwenye mchezo wa awali walienda sare ya kufungana goli 1-1 wakati mchezo wa hapo jana walipata sare nyingine ya kutofungana.
Kwenye mchezo wa awali Juventus walianza kupata goli kunako dakika ya 13 ya mchezo baada ya kupata penati ambayo ilipigwa na Christiano Ronaldo, lakini baadae Ac milan walipata bao la kusawazisha hivyo kufanaya dakika tisini zimalizike kwa kutunishiana misuli kwa kutoka 1-1.
Kwenye mchezo huo wa marudiano AC milan iliwakosa nyota wake kama Zlatan Ibramovic kufuatia kuwa na majeraha huku Samu Castillejo na Theo Hernandez waliukosa mchezo huo
Mechi ya marudiano ilipigwa siku ya ijumaa juni 13 walienda sare nyingine ya kutofungana goli hivyo Juventus kufanikiwa kwenda hatua ya fainali kwa faida ya goli la ugenini, na kuwa fanya Juventus kuongeza rekodi ya kutinga fainali kwa mara ya 19, huku timu ya As Roma kuwa ni ya pili kwa rekodi hiyo kwa kufika fainali ya kombe hilo la Italia mara 16
Fainali ya kombe la italia itafanyika tarehe 17 juni ikiwakutanisha kati mshindi atakae patikana kati ya Napoli dhidi Inter milan na timu ya Juventus , lakini pia Juventus siku ya juma tatu watacheza mechi yao dhidi ya Bologna wakiwa ugenini kwenye ligi ya serie A
Siku ya mchezo huo Juventus na Ac milan heshima zao kwa wafanyakazi wote waliojiweka mstari wa mbele kukabaliana na maambukizi ya virusi vya korona na wote waliopoteza maisha tangu kuzuka kwa virusi hivyo hatari
Christopher
Dah, mnyama Cr7 sio wa kukosa tuta kabisa, ila sio mbaya fainali kitaeleweka tu
Lydia Emmanuel Magoti
Mtanange wakufa mtu huo patakuwa apatoshi
Povel
Dah ilikuwah bonge la game yan nilitaman mpra usingekwisha
Sadick
Miaka ya karibuni AC Milan sio ile ya akina Ronaldo De Lima , Gattuso na wengineo. Wamechoka hawana uwezo kuingia sokoni na kutafuta wachezaji wa watakaorejesha heshima iliyopotea. Hata hivyo walijitahidi#meridianbettz
Shafii
Kwa Sasa imebaki story tu hakuna ushindani kama wa kipindi like cha akina dilima saivi Milani imebaki jina tu
Ester jackson
Tunasubiri kwa hamu sana mana itakuwa cr7 anahasira ya kukosa penat hivyo atawaumiza watu jamani
Hope mwaikuka
Jaman. Hii sijui itakuaje
isha
Ac millan sio powa hatoniangusha
Tahiya
Safi sana
mwakalosi
dah hii mechi nimeikosa
Salma
Patakuwa hapatoshi
David Pere
Juve atakomba makombe yote ya Italy, lakini UEFA haiwezi kamwe
Mwajuma
Hii mechi ilikuwa kali sana
Samiah
Duuh
Neema juma
Sipatiii picha itakavyokuwa siku hiyo
Aziza mushi
Mechi Kali Sana hiyo.
Leonard
Fainali itakuwa bora zaidi
lombo
bila ya kupepesa macho jibu lipo wazi juve bila jasho mechi wa shinda hiyo
Emmy cleopa
Mechi iko vizur sana
Elika
Nilijua tuu kuwa mechi hii wababe tupu
Theonestina
Duuuh ilikuwa bonge la mechi
warda
Juve watachukua tu #Meridianbettz
Khadija
Juve mabingwa lazima wachukue ubingwa#meridianbettz
Magdalena
Mpira ni dakika 90 tunasubiria kuona mshindi
Devotha
Juventus wataibuka na ushindi
Frank Patrick
Juve alikuwa na kila sababu ya kushinda hii game alikosa bahati tu
Johnmary joel
Mpira dakika 90 tutampata mshindi#meridianbettz
Ernest
Ilikuwa bonge la mechi yenye kandanda safi sema tu Milan hakuwa na Bahati
felister
ngoje tuone iyo siku nani ataibuka mshindi
Hamidu
Juve walistahili kuingia fainal#meridianbettz
Gabriel
Lilikuwa bonge la mechi
Theckla
Juve wakaze buti wachukue ubingwa
Furahav
Ac milan wako vizuri.
isha
Mtanange sio powa tusubili matokeo
Amani
Juventus lazima wachukue ubingwa#meridianbettz
Agness
Safi
Mwanaidi
Juve wapo vizuri ubingwa ni lazima
Dorophina
Tunasubilia kwa hamu mpaka kieleweke
Rehema
Good