Klabu ya Juventus imeingia katika mbio za kumsajili kiungo mfaransa Houssem Aouar, 22 kutoka katika klabu ya Lyon.
Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya michezo nchini Italia vinasema muwakilishi/Wakala wa mchezaji huyo amefanya mazungumzo na klabu ya Juventus kuhusu uhamisho katika dirisha la majira ya Joto.
Aouar amekuwa akihusishwa zaidi na timu mbalimbali ikiwemo Arsenal ya nchini Uingereza, huku mabingwa hao wa Italia wakitaka kumpokonya Gunner tonge mdomoni.
Staa huyo wa Lyon ana mkataba na miamba hao wa ufaransa mpaka mwaka 2023 na klabu hiyo inaweza kutengeneza pesa wakimuuza katika kipindi hichi.
Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!
Sania
Juventus wanajipanga vyema
Lydia Emmanuel Magoti
Juve wanejipanga kipasavyo
Dorophina
Juve wamepata mchezaji mzuri sana atawafaa
Magdalena
Kila la kheri Juventus
Adelta
Juventus kwa sasa wako vizuri
Khadija
Juventus nawakubali sana
Sarah
Juventus Kila la kheri
Hopemwaikuka
Anafaaa
felister
kila la kheri juve
Issa
Juve mchukuen huyu
warda
Hawawezi mpata