Kwa mujibu wa ripoti kutoka Amerika, Juventus wamekubaliana na dili la $10M na klabu ya FC Dallas kwa ajili ya nyota wake Bryan Reynolds, ambaye anatarajiwa kupelekwa kwa mkopo Cagliari.
Staa huyu anayecheza nafasi ya ulinzi, anahusishwa pia na vilabu vya Roma, Club Brugge wakati Juventus wakiongoza mbio za kuiwania saini yake.

Kinda huyu ana miaka 19 tu, akitokea kwenye akademi ya FC Dallas, na kwa mujibu wa ESPN makubaliano yamefanyika kwa dau la $10m, na Juventus watampeleka nyota huyu chipukizi kutumikia mkopo.
Ripoti zinataja kuwa kwa mujibu wa makubaliano, Cagriali watamchukua nyota huyu kwa mkopo kwa miezi sita.
Hii inakamilisha idadi inayotarajiwa ya wachezaji wa nje ya Ulaya ambao Juventus wanahitaji kuwa nao kwa msimu huu. Jumla ya gharama za uendeshaji inatajwa kuwa €8.5m ikihusisha pia bonasi.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?




Issa
Juve wambebe
warda
Wamefanya poa
Tatu
Juve wamefanya jambo zuri
Fatina mfingi
Safi sana juve
Mwanahamisi
Wamefanya poa
Sarah
Juve wamefanya Jambo zuri sana
Rahmal
Vizuli sana juve
Hopemwaikuka
Sio mbaya
Caroline
Jambo zuri
Angelina
Nice update
Dorophina
Juve wamchukue tu kijana yupo vizuri
David Pere
Staa huyu anayecheza nafasi ya ulinzi, anahusishwa pia na vilabu vya Roma, Club Brugge wakati Juventus wakiongoza mbio za kuiwania saini yake.
Zahara omary
Safi snaa juve
Lydia Emmanuel Magoti
Wamefanya poa
Sania
Vizuri sana juve
Adelta
Juventus mko vizuri
Sabrina
Safi sana juve
Chiku
Juve sina swali kwako