Arthur amesaini mkataba wa miaka mitano kujiunga na JuventusΒ majira ya joto baada ya kukamilisha vipimo vya afya Turin Jumamosi.
Kiungo huyo wa Brazil amkubali kucheza Barcelona hadi mwisho mwa msimu – ikiwemo michuano ya Champions League mwezi August – kabla kujiunga na Juve msimu ujao.
Arthur alisafiri na kwa ndege kwenda Italia masaa kadhaa baada ya kuingia mbadala katika dakika za mwisho dhidi ya Celta Vigo na alifanya vipimo kwanziaΒ 9.30am to 3.30pm.
Arthur alirejea tena Spain na ataendela na mazoezi na Barca kuelekea mechi dhidi ya Atletico Alhamisi, huku dau lake likitaja ni Β£72.5m lakini bado haijatangazwa rasmi.
Kiungo wa Juventus Miralem Pjanic, ataelekea Barca mwishonio mwa msimu kwa dau linmalokadiriwa kuwa ni Β£60m, pia amekamilisha vipi Turin Jumamosi.
Magdalena
Arthur kafanye maajabu uko ugenini
lombo
habar njema
Njiku
Ipo poa hii Arthur yupo poa na anafanya vizuri sana kwa kiwanja na Juve ipo tayari kumchukua kiungo huyo maana kama pjanic atasema kwenda Barca bhasi kiungo huyo nyota wa Brazil atatua juventusi na kujihakikishia namba pale Juve ila Barca wajanja kwanini wasinge badilishana for free hao wachezaji
Ester jackson
Good news
fatumakasom
Habari njema
Sadick
Ni juzi Kocha wa Barcelona alisema hajui chochote juu ya kuondoka kwa Arthur sasa leo imedhihirika kwamba anaondoka#meridianbettz
Mariam mtandama
Habari mjema
Hope mwaikuka
Kaz kaz arthur
Hamidu
Juve wamelamba dume..huyo dogo arawasaidia sana#meridianbettz
Povel
Habar njema
Johnmary joel
Wamepata jembe#meridianbett
Furahav
Hongera Arthur,nenda kapambane.
Gabriel
Habar njema sana π
Issa
Juve wamecheza kiungo wa maana
Fatuma kasomo
Habari njema
Ester jackson
Good news
nasra
Asantee kwa habari
Edgar
nakubali
Ernest
Daah Barca walikuwa wanakataa kuwa Arthur hatouzwa kwenda Juve, Mpira nao siasa nyingi
Tahiya
Aisee Juventus ni hatarii uyo dogo ni fundi
Sabrina
Maoni:Arthur karibu ujekuitumikia juventus mashabiki wanataka kuona kipaj hichoo
Samiah
Juventus nihatari huyo dogo ni fundi
Neema juma
Acha wajiandae vzr kwa msimu ujao kwa maana huu ushaisha
Omary lukumbi
Bora aende kutafuta maisha Juventus maana inaonekana Barcelona ameshindwa kuendana na mfumo ulipo pale
Latifa juma mohamed
Safi Arthur, yupo poa Sana vema akapambane juventus,
tumaini
Maoni:yuko vizuri naamini atafanya mambo makubwa
Evaluziga
Ni habari njema
Devotha
Arthur karibu sana juventus natumaini unafanya vema sana kwa kushirikiana na wachezaji wenzako na bodi nzima ya club hiyo
Genia Sikaluzwe
Nihabari jema kwa mashabiki wa Juventus
Dorophina
Atawasaidia sana dogo yupo vizuri htr
Emmy cleopa
Habari njema
warda
Duuuu miaka mitano mbona Mingi??#Meridianbettz
Amani
kiungo huyo nyota wa Brazil atatua juventusi na kujihakikishia namba pale Juve ila Barca wajanja kwanini wasinge badilishana for free hao wachezaji
felister
good news
Angelina
Arthur ni mchezaji mzuri naamini atafanya poa huko aendako
Salma
Kila la kheri huko aendako
Lydia Emmanuel Magoti
Habari njema
Rehema
Hii ni habari njema
Elika
Safi sana dogo anajua
Shafii
Big deal kwa juventus
isha
Kila la kher kaka huko uendako kaka
Asia Abdy
Asanten meridian kwa taarifa za kimichezo
Kenani
Hapo sas wamepata jembe juve
Samira
Juve wamepata mchezaji mzuri
Mwanahamisi
Habani njema
Neema juma
Yuko vzr kijana
David Pere
Hongera yaoo juveee
Tatu
Habari nzuri