Mabingwa mara tatu Juventus wamefuzu fainali ya Coppa Italia kwa sheria ya goli la ugeniniwalipominyana na Ac Milan baada ya msimu wa mpira wa miguu Italia kurejea.
Baada ya kutoa suhulu ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Februari 13, Juve hawakuweza kupata goli kwenye nusu fainali ya pili iliyochezwa Turin bila mashabiki.
Juventus walifanikiwa kupata penati baada ya mchezaji wa Milan, Ante Rebic kuunawa na kutolewa nje lakini Cristiano Ronaldo alikosa penati hiyo.
Juventus, wakiwa chini ya kocha wa zamani wa Chelsea Maurizio Sarri, watakutana aidha na Inter Milan au Napoli Jumatano kwenye fainali mjini Rome.
Baada ya timu zote mbili kuingia uwanjani kulikuwa na kumbukumbu ya walifariki kwa Virusi vya Corona ikafuatiwa na pongezi kwa watumishi wa afya.
Bila mashabiki uwanjani, kuna wakati mechi ilionekana kama ni mazoezi, lakini wenyiji walikuwa na nafasi kubwa ya kuongoza baada ya kupata penati.
Elika
Juventus hongera sanaaaaa
Mariam mtandama
Juventus wako vizur
felister
👏👏👏
Adelta
Juventus Yuko vizuri namkubali
Theckla
Mmetisha juve kazeni buti
Genia Sikaluzwe
Juventus wako vizuri lazma washinde
Ester jackson
Juventus lazima ashinde kwanza cr7 anapata goli 2 hatakama mchezo ulio pita alikosa penat ila lazima washinde
isha
Juve mko vizuri sana
Rehema
Kudadeki juve hongera sana
Hamidu
Juventus walistahili kushinda ..Asante update za michezo#meridianbettz
Rehema Dickson
Kama kawaida cr7 jitahidi tubebe ndoo nakuaminia kwenye sekta iyo kibingwa 💪
Furahav
Hongera kwa kufika fainali.
Neema hassan
Pongezi kwa juve…
Lydia Emmanuel Magoti
Pongez kwao Juventus mapambano yanaendelea
Mwanahamisi
Hongera yake juve
Emmy cleopa
Hongera sana
Dorophina
Juventus wako vizuri hongera kwao
Devotha
Hongera sana juventus
Gabriel
Hii gemu nilitabir itakuwa ngumu sana n pia itakuwa haina magol kulingana na update za na misimu waliyokutana na ukiangalia juve wanamajerui hivyo nilihisi tu hii gemu itatoka suruhu na haitakuwa na magol mengi
Samiah
Hii gemu lazima itakuwa na magoli mengi
Hope mwaikuka
Wanastahir pongez nying
Njiku
Juventus bhana
Amani
gemu nilitabir itakuwa ngumu sana n pia itakuwa haina magol ni lijua cr7 hatokuwa kwenye kiwango chake#meridianbettz
Povel
Juve wanabeba ubingwa hapo
Khadija
jevu wapo vzr##meridianbettz
Caroline
Hongera Juventus.Keep it up
Ernest
Kibabe sana sema Juve wanabahati sana.
Zeiyana
Lonaldo kakosa penati duuuh..!hapo kungekua na mashibiki angezomewa
Theonestina
Hongera kwao Juventus
Frank Patrick
Game ilikuwa nzuri ila faida ya goal la ugenini imempeleka juve final
Sylvester
Juve ndoo Yao mwaka huu ya Coppa Italia na Ronaldo anaonyesha Ni jinsi gani anabahati ya mataji #meridianbettz
Christopher
Good news, ila game ilikuwa tafu sana
Hidaya
Juve baba lao
David Pere
Wametinga final kwa mbinde Sana wangeruhusi goli tu wasinge ingia
Mathayo sonje
Hakanaga mpinzani mkubwa hawa huko maeneo yao! Hongera yao sana.
Mwanaidi
Safi sana wamefikia hatua nzuri hongera kwao juve
Isaya massawe
Sio mbaya lakini wamesonga mbele
Shafii
Pongezi kwa juve kiukweli wameonekana wakipambana mwanzo mwisho na wamestahili kufikia hatua iyo
lombo
sio fainali tu had kombe lao juve tangu wamnunue CR7 mambo yamekuwa bam bam
Magdalena
Juve wanakuja juu kama radio
Agness
Juve wanajua mpira
Samira
Hatua nzuri mnoo