Kai Havertz anaweza kuwa na uhakika wa kusepa Bayer Leverkusen kutokana na mazungumzo yanayotajwa kuendelea ya dili la pesa kubwa kwenda Chelsea.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 21 aliingia Bundesliga na anaweza kufuata mkondo wa Timo Werner, ambaye aliondoka RB Leipzig mwishoni mwa msimu wa soka wa Ujerumani kuhamia Stamford Bridge.
Ripoti zimedai kuna nia dhabiti kutoka Chelsea ya kumnasa staa huyu lakini Leverkusen wanasimamia msimamo wa ada ya karibu euro 90m kwa Kai Havertz.
Mwanatimu mwenzake Kai Havertz, bwana Nadiem Amiri alisema wachezaji wa Leverkusen wanamruhusu mshindi aendelee na mishe mishe zake bila kuzungumza zaidi juu ya mazungumzo zaidi ya uhamisho, kwa kuwa bado wanamuhitaji.
“Hatutaki kuzungumzia juu yake kabisa. Katika chumba cha kuvaa tumetulia sana.”
Wachezaji wenzake wa Liverkusen wanampa mda wa kutafakari na kufanya maamuzi mwenyewe bila shinikizo ikiwa uhamisho huo ni wa kweli. Wanaamini yupo katika nafasi ya kufanya maamuzi bora zaidi mwenyewe.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure. Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
ChezaHapa Sasa
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa meridiabet
Magdalena
Habari njema kwa mashabiki wa chelsea
Dorophina
Itakuwa poa sana kai akitua chelsea
Sadick
Nahisi Chelsea haijui mapungufu yanayotakiwa kujaziwa ambapo kwasasa inahitaji beki wa kati ,kushoto na golikipa#meridianbettz
felister
itakua poa kai Kama atakuja chelsea
sauda
Itakuwa bora zaidi
Zuhura omary kindamba
Kalibu sana Kai havertz
David Pere
Wamalizane akafanye kaziii
Samira
Sizani kama kai havertz atakua ni mtu sahihi kwa Chelsea maana timu sasa hvi inaitaji beki wa kati
Zeiyana
Hayo maneno tu tunasubili maamuzi yake
Khadija
Karibu sana chelsea#meridianbettz
neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa soka
Rehema
Itakuwa ni bora said
Tatu
Habari njema
Leonard
Jambo zuri
Neema juma
Hapo ni sawa kabisa
mwajumah
Itakua pow sana kai akitua chelsea
caroline
safi sana Kai Havertz nenda chelsea
Salma ngende
Vizuri
Saupha mohamed
Jambo zurii
Ester jackson
Chelsea kumchukuwa Kai Havertz ni jambo zuri ila waongeze walinda mlango kwenye time yao
christopher
Chelsea itakuwa na striking force ya hatari sana
Adelta
Jambo zuri
Mwanahamisi
Jambo zuri
aisha
Itakua bomba sana kai akitua pale chelsea
Fatuma kasomo
Habar njema
devotha
karibu sana chelsea
Povel
Welcome KAI darajan
Issa
Havertz ligi ya epl ni moto
Theonestina
Karibu chelsea kia
Hope mwaikuka
Habar njema hii
Amiri Kayera
Safii
Rose kapinga
Xafiii
Gabriel
Habar njema
Janeflora malisa
Safi
sabrina
Itakua jambo zuri sana kama Chelsea watamchukua
JULIANA
Asante kwataharifa
Genia Sikaluzwe
Ni Jambo jema sana
Ernest
Hapa Chelsea wameshalamba dume
Furahav
Jambo zuri.
Lydia Emmanuel Magoti
Jambo zuri
Asia Abdy
Itakua poa
Samiah
Itakuwa bora zaidi
Theckla
Itakuwa imekaa vizuri Sana
Shafii
Kai harvest karibu darajani.
Omary lukumbi
Lampard atafanya kweli
warda
Jambo Zuri sana