Kitu kinachoshangaza kuhusu timu Kaizer Chiefs ni ukweli licha ya kwamba imekuwa na msimu mbovu Afrika Kusini ikiwemo kufungwa na timu ndogo lakini wameshinda mechi mbili ngumu za kupania.
Msimu huu Kaizer wamewachapa watani zao wa jadi, Orlando Pirates katika pambano la watani wa jadi wa Soweto
Kama haitoshi, Kaizer ndio timu iliharibu rekodi nzuri ya Mamelodi Sundowns ya kucheza bila kufungwa katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini.Hii inaonyesha ni wataalam wa mechi za kupania.
Kama waliweza kushinda mechi hizi mbili za kukamia nadhani Simba inabidi wajihadhari hasa kwa kuzingatia kwamba Kaizer wana uwezo mkubwa wa kukamia mechi hii kwa sababu ni mechi ambayo inaweza ghafla kubadilisha msimu wao kutoka kuwa msimu mbaya na kuwa msimu mzuri.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Wala msikate tamaa songeni mbele mtashinda
Kaizer wapo vizuri
Kazeni mwendo
Huu ni mchezo kuna kushindwa na kushindwa aimaanishi timu kubwa au ndogo mna shindana
Vizur
Asante kwa taarifa
Waongeze juhudi kwa bidii
Mmh ngoma nzito
Ngoma ngumu
Duuh ngoma ngumu sana
Kazi ipo hapa
Kaz ipo apo