Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel amethibitisha kuwa N’Golo Kante alikosa mchezo dhidi ya Arsenal siku ya Jumatano usiku kutokana na maumivu ya Achilles. Lakini atakuwa fiti kuanza katika fainali ya FA hapo kesho.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya mchezo wa kesho :
“Tulichukua maamuzi pamoja, N’Golo, mimi na timu ya madaktari, kumpumzisha katika mchezo dhidi ya Arsenal kufanya matibabu ya Achilles katika mguu wa kulia, nadhani.” alianza Thomas Tuchel
“Ni kwaajili ya kuzuia maumivu, si jeraha kubwa, si la kuogopa kuwa litakuwa kubwa. Lilikuwepo na nililikuwa ninamsumbua.
“Amefanya mazoezi yote jana na leo, hakuna malalamiko yoyote. Ataanza katika mchezo wa kesho na tunategemea atamaliza mchezo pia.” aliongeza Tuchel.
Kante amekuwa mchezaji bora wa Chelsea FC hadi sasa msimu huu, na mchezaji huyo wa miaka 30 ametoa pasi mbili za magoli katika michezo 29 ya Ligi msimu huu.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Asante kwa taarifa
Kante tunakuamini
Nice update
Taarifa nzur
Leo kitaumana
Kante jeshi.
Kante yuko vizuri
Yuko vizuri
Asante kwa Makala
Safi Sana kante
Ni afadhali Kante alivyopata nafuu
Safii kane
Nice
Asante kwa makala
Makala imetulia
Safi
Yupo vizuri
Safi sana kane
Nice