Sky Sport wametangaza kuwa watatoa pesa kiasi cha £3m kwa kikundi cha kupambana na ubaguzi kwenye soka Kick It Out.
Kick it Out wamekuwa wakifanya jitihada za kupambana na ubaguzi katika soka kupitia namna mbali mbali na kuwashirikisha wachezaji kufuatia ongezeko la ubaguzi wa rangi katika soka.
Kupitia ukurasa wao wa Twitter, Skysport wamebainisha kuwa Kick IT Out wametangaza kuingia ubia na Skypsport kama mshirika wao katika tasnia ya utangazaji.

“@KickItOut wameanzisha ubia wa miaka 3 na Sky ambao utawafanya Sky kuwa washirika wakuu wa utangazahi katika kuhakikisha usawa kwenye soka na kupambana dhidi ya ubaguzi wa aina yeyote”-Skysport katika ukurasa wao wa Twitter.
Sky wameenda mbali na kusisitiza kuwa wana malengo sawa na Kick It Out Kuhakikisha kuwa soka linakuwa mahali salama bila ubaguzi, hiyo ni moja ya ndoto yao katika soka.
Wakiwa kama washirika wakubwa wa maendeleo Uingereza, Sky wanaamini kuwa hizi ni jitihada zao katika kuhakikisha kuna kuwa na mabadiliko chanya katika jamii, hasa katika soka.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???




Adelta
Hawa watu mbona hawataki kubadikika ?waache
Mambo ya kibongo wawe wazungu kwenye mambo yote
Hopemwaikuka
Ifike mahala haya mambo yaishe
Dorophina
Dhuu kweli ubaguzi umekithiri mpaka wameunda taasisi
Issa
Ubaguz ni kitu cha kupingwa
aisha
Noma sana hii mpaka taasisi
Sarah
Ubaguzi sio kitu kizuri kabisa
Lydia Emmanuel Magoti
Ubaguzi sio poa kabisa
samiah
Cyojambo jema ubaguzi
Saupha mohamed
Ubaguzi si jambo zuri
Latifa juma mohamed
Ubaguz sio poa
Ernest Kimeru
Ni ngumu sana ila utafika wakati nadhani mambo yatakaa sawa
Tatu
Ubaguzi sio mzuri
warda
Habari njema