Inajulikana kuwa kufanya vizuri kwenye Champions League kunaweza kuwa na faida kubwa kwa vilabu vinavyoshiriki.
Manchester City na Chelsea watamenyana Jumamosi hii usiku kwenye fainali kubwa zaidi ya mpira wa miguu huko Ulaya, lakini ni kiasi gani watapewa pesa kwa atakaye shinda taji?
Upande wowote utakaoibuka washindi katika fainali huko Porto watapata euro milioni 19 kwa pesa ya zawadi, na washika nafasi ya pili wakipokea euro milioni 15.
Takwimu ya jumla ambayo upande wa kushinda hufanya kutoka kwa mashindano kwa msimu mzima ni kubwa zaidi kuliko takwimu hii, hata hivyo, kwani kiasi kikubwa cha pesa hupatikana katika kila hatua.
Ushindi katika hatua ya makundi una thamani ya euro milioni 2.7, na sare huwa ni 900,000.
Timu yoyote ambayo inashinda mechi zao zote za hatua ya makundi na kisha kushinda mashindano yote itapokea kitita cha euro milioni 82.45 kwa ujumla.
Manchester City wamekusanya zaidi ya euro milioni 60 kampeni hii, na ushindi mara tano na sare katika hatua ya makundi, na Chelsea wamepokea chini ya euro milioni 60 baada ya ushindi wa mara nne na sare mbili.
Kiasi cha pesa cha kinatarajiwa kuongezeka msimu ujao, licha ya athari za kifedha za janga la COVID-19, na kurudi kwa mashabiki kwenye viwanja pia kutazipa vilabu nyongeza nyingine kupitia makusanyo ya viingilio.
BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.
Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.
Mtonyo wa kutosha
Vizuri