Julai 2019, aliyekuwa nyota wa Manchester United, Ander Herera alieleza sababu iliyomuondoa Manchester United.
Staa huyu aliamua kuhamia klabu ya PSG katika dirisha la uhamisho la msimu wa joto wa 2019. Katika sababu alizotaja kuwa zilimfanya aondoke klabuni hapo ilikuwa ni kushindwa kuelewana na meneja wa klabu hiyo Ole Gunnar kuhusu wajibu wake klabuni hapo.
Staa huyu aliamua kusepa kama mchezaji huru kwenye dirisha la uhamisho la msimu wa kiangazi, ikiwa ni baada ya miaka yake mitano katika Ligi Kuu ya Uigereza.
Herera akionekana kama angeweza kuendelea kusalia United anasema kuwa alilazimika kusepa klabuni hapo baada ya kutofautiana kimawazo na meneja Ole Gunnar juu ya majukumu yake.
Ander Herera alinukuliwa wakati huo akisema;
“Sipendi sana kuangalia yaliyopita, lakini kulikuwa na tofauti kati yetu kwa uhusiano wa kazi tuliyonayo na mchango wangu klabuni.”
“Ninafuraha sana, nina mengi ya kuishukuru klabu, mashabiki na Solskjaer pia. Alijitahidi kufanya awezavyo nibakie lakini ilishindikana. Nilikuwa nimeshafanya maamuzi ya kuja Paris.”
Tunakumbuka wakati huu pia golikipa David de Gea pia alikuwa anahusishwa zaidi na klabu ya PSG, lakini kwa mujibu wa Ander Herera klabu yake mpya ilikuwa ina ina uhakika na makipa iliyowapata, hivyo hawakuwa na haja ya kumfukuzia De Gea.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Omary lukumbi
Sidhan kama alikua sahihi kuzungumza yote yale tunacho fahamu tuu ni kwa sabab ya masilah ya msahara
gabriel
kiikwel kuna muda lazima mtu ufanye maamuz magumu ambayo lazma yakuletee faida kwa upande wa Ander Herera kitendo alichokifanya me naona yuko sahihi kabisa na hii inanipa picha kuwa ata de gea hayuko vzur na maamuz ya kocha wake ole gunnar Solskjaer
Sadick
Ander Herrera alicheza kwa kujitolea sana na anatakiwa kuweka bidii kwenye timu aliyohamia,aachane na mambo yaliyotokea Man U#meridianbettz
Theonestina
Asante meridianbet kwa taarifa
Sabrina
Duuh kumbe hakua na maelewano mazuri na ole Gunnar.
Dorophina
Huu sio mda wa kukumbuka ya nyuma Herrera cha msingi ni kupiga kazi klabu uliyopo kwa sasa
Hope mwaikuka
Aisee habar zenu ni nzur sana
Edgar
Duuh ku
farida ahmadi
Herrera ni mchezaji mzuri Sana
Issa
Herera united ilikosa mchezaji mahiri
Shafii
Wachezaji wengi wazuri wanaondokaga kwenye timu wanazozipenda sababu kubwa kutokua na maelewano mazuri na makocho.
Povel
Herera anaonyesh dhaman yake kwn United walitak kumpa kias kdg kwny kandarasi mpya kutoka na ubora alionyesh msimu husika lakin hawakutambuwah herera anadhaman kulik like walichotak kumpa ndipo psg Wakampa thamani yake ni kwl now anaonyesha dhaman ya pesa ya mkataba mpya aliopewa na matajir wa jiji la paris thnks meridian bet kwa update
Janeflora malisa
Yupo vzr lkn
Samiah
Yupo vzr sanaaa
Devotha
Asante kwa taarifa
Adelta
Yupo vizuri
@meridianbettz
Mwajumah
Wachezaji wengi wazuri wanaondokaga kwenye team wanazozipenda sababu kubwa kutokua na maelewano mazuri na makocha wao#Meridianbettz
rama
Maoni:hataivyo asingeweza tena kudumu man united
Ernest
Ander Herera mwamba ambaye bado anasumbua kwenye ramani ya SOka duniani
Fatina mfingi
Duuuh
Nasra
Yupo vzuri
Khadija
Mwamba ambaye bado anasumbua kwenye ramani ya soka dinian
Zeiyana
Kocha kama kocha hana uwezo wa kumzuia mchezaji kwenda sehemu ambayo yeye hanamapendekezo napo so ulikua huwamuzi wake mwenyew ander Herrera kwenda PSG na ndio inavyo kuaga wachezaji wengi wenye uwezo wanajichagulia timu wanazo zipenda
Ester jackson
Asante kwa nakala
Mwanahamisi
Yuko vizuri sana
gabriel
hakuna sababu nyingine mimi naona anajikosha tu aliondoka sababu ya masrahi ya kipato
Magdalena
aliondoka sababu ya masrahi ya kipato uyo
Lydia Emmanuel Magoti
Under herera yupo vizuri Ila mtu anangalia masilai Kama masilai ayajamlizisha anatafuta panapo mlizisha
aisha
Under herera ni mchezaji mzuri sana labda kocha wake walipishana kiswahili
Lydia Emmanuel Magoti
Under herera yupo vizuri Sana abasumbua vichwa vyawatu kwenyesoka anajua
Tahiya
Hivi alitakiwa kutoa sababu naona ni vizur kunyamaza tyuu
Furahav
Umefanya jambo la mana.
Johnmary joel
Yaliyopita yamepita songs mbele ili timu uliyopo ifanye vizuri#meridianbett
Saupha mohamed
Yupo vizuri sana
Latifa juma mohamed
United hawakuona thamani ya herera mbali na kutoelewana na meneja wake ole Gunnar,lkn thamani yake inaonekan sasa akiwa PSG hakika kumpiga teke chura ndio kumuongezea hatua Kama anenavyo siipendi kuangalia yaliyopita .
David Pere
Staa huyu aliamua kusepa kama mchezaji huru kwenye dirisha la uhamisho la msimu wa kiangazi, ikiwa ni baada ya miaka yake mitano katika Ligi Kuu ya Uigereza.
warda
Ila alikuwaga poa sana#Meridianbettz
felister
kumbe hakua na maelewano mazuri na meneja
Tatu
Tatizo makocha wengi awaekewani na wachezaji wao kuwasababishia kuhama timu