Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Kim Poulsen ametangaza kikosi chenye wachezaji 27 ambacho kitaingia kambini Juni 5 mwaka huu kujiwinda na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Malawi.

kim
.
Makipa- Aishi Manula(Simba, Metacha Mnata (Yanga), Juma Kaseja (KMC)
.
Mabeki- Shomari Kapombe (Simba), Israel Mwenda (KMC), Mohamed Hussein (Simba), Edward Manyama (Ruvu Shooting), Erasto Nyoni (Simba),Bakari Mwamnyeto (Yanga), Kennedy Juma(Simba), Dickson Job(Yanga), Nickson Kibabage (Youssoufia Fc Morocco).
.
Viungo- Mzamiru Yassin(Simba), Feisal Salum(Yanga), Salum Aboubakar (Azam), Braison Mkulula (Azam),Mudathir Yahya (Azam), Novatus Dismus(Maccabi Tel Aviv).
.
Washambuliaji- Simon Msuva (Wydad Casablanca ), Yusuph Mhilu (Kagera Sugar), Denis Kibu( Mbeya City), Mbwana Samatta( Fernebance), John Bocco (Simba),Meshaki Abraham (Gwambina), Ayoub Lyanga(Azam), Iddy Nado (Azam).


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

4 MAONI

JIBU

Tafadhali andika maoni yako
Tafadhali andika jina lako hapa