Kisa Corona, United Wapata Hasara

Manchester United wamesema janga la Corona limeigharimu klabu kiasi cha £28m – na wanatarijia hadi mwisho kiasi kitaongezeka.

Afisa mkuu wa Fedha Cliff Baty amesema wanatarajia kurudisha £20m mapato ya Runinga kwa warusha matangazo hata kama msimu wa Premier League utakamilika.

Afisa mkuu wa Fedha United, Cliff Baty

United wamepoteza nyongeza £8m kwenye wiki tatu za mwisho za mwezi machi, pale mechi tatuz zilipohairisha.

Jumla ya mechi 11 za United zimehairishwa  kwasababu ya COVID-19.

Akizungumza kwenye kikao cha video na baada ya ripoti ya Fedha kutoka, Baty ameeleza warusha matangazo ya Premier League watapata £20m kutoka kwa klabu, kwasababu ya mabadiliko ya tarehe na muda wa mechi kwasababu ya Corona.

Wakati mechi zimesimishwa – ikiwemo za Ligi ya Europa na Kombe la FA – Baty amesema mapato ya udhamini yameshuka kimkataba kwasababu mauzo ya bidhaa yameshuka kwa duka Old Trafford likifungwa.

Mapato ya robo mwaka yameshuka kwa 18.7% kiasi £123.7m. Deni la klabu limeongezea kwa £124.4m hadi £429.1m.

Baty amesema kuhairishwa kwa mechi ya Premier League dhidi Tottenham, 15 Machi pekee yake imeigharimu United £4m.

“Huu ni wakati mgumu lazima tutambue na lazima tujue kuwa janga hili haliwezi kumaliza kwa usiku mmoja,” amesema Woodward.

 

Ed Woodward.

“Japo, klabu ina msingi mzuri, Tunabaki tukipanga mipango ya muda mrefu ili kunusuru klabu katika kipindi hiki cha janga hili ambaho hakijawahi kutokea kwenye miaka 142 ya historia kwa Manchester United.”

Makala iliyopita
Makala ijayo

43 Komentara

    ugonjwa wa corona umerudisha nyuma mambo mengi sana

    Jibu

    Hili janga jamni dah😔

    Jibu

    Covid19 imeleta maafa makubwa sana ulimwenguni kote kwenye sector zote

    Jibu

    Duuh hii Corona jaman

    Jibu

    jamani hii corona ni hatari sana ni kumuomba mungu tuu atusaidie#meridianbettz

    Jibu

    Daa! Chama langu!soon Mambo yatakaha sawa# meridianbettz

    Jibu

    Klabu kubwa kama man u yenye mipango mikubwa hata ikipata hasara kwa kipindi cha korona itarudi kwa mudamchache kwa miundo mbinu ya uzalishaji waliyonayo.

    Jibu

    Kweli ni hasara kubwa Sana walioipata

    Jibu

    dah polen sana

    Jibu

    Pole Sana man utd

    Jibu

    Duuh pole zao

    Jibu

    Duu! Corona hatari

    Jibu

    Ni clabu kubwa hiyo haiwezi kupata asara kubwa itakaa sawa tu.

    Jibu

    Kwanini corina jmn

    Jibu

    Hali itakaa sawa

    Jibu

    Ili kanga linatisha baraa

    Jibu

    Polen sana man u

    Jibu

    Kuna kipindi mashabiki wengi walikuwa ni faida kwao na sasa imegeuka kuwa kahasara kwao…Pole kwa team zote za EPL

    Jibu

    Katika kipindi cha janga hili timu nyingi zimepoteza mapato mengi

    Jibu

    Corona jaman duu sijui utaisha lini

    Jibu

    Duh hii hatar

    Jibu

    Corona imeleta maafa mengi sana dunia zima cha msingi tufuate kanuni za afya dhidi ya kujikinga na corona na mambo yawe kama zamani .

    Jibu

    Mambo meng yameharika sababu ya huu ugonjwa

    Jibu

    Corona jmn.leave us please

    Jibu

    Daaah..!korona imearibu mambo mengi

    Jibu

    Corona ni hatari sana

    Jibu

    Corona sio poa.

    Jibu

    Corona atari inawarudisha watu nyuma Sana kifedha kimichezo

    Jibu

    Mungu atunusuru na hili janga

    Jibu

    Mambo mengi yameharibika litapita tyuu

    Jibu

    Duh sa itakuwaje Tena corona tuache kidogo tafadhal #meridianbet

    Jibu

    duuh poleni sana ndugu zetu

    Jibu

    Jamani,hii cov hii kweli sio poa

    Jibu

    Corona imeleta majanga kila sekta #meridianbettz

    Jibu

    Pole kwa man united kwa hasara

    Jibu

    Ni janga la dunia na limeridisha nyuma mambo mengi sana hasa kiuchumi

    Jibu

    Duuuh polen sana

    Jibu

    Duuuh corona inatisha

    Jibu

    Ni janga la dunia hlo covid 19 (Corona)

    Jibu

    Corona imetishia dunia

    Jibu

    Mungu atasaidia mambo yatakaa sawa tu

    Jibu

    Hili janga la corona limeharibu sana uchumi wa kila sekta

    Jibu

    Duh pole Sana klabu ya man u ila karibuni Mambo yatakaaa sawa tyuu

    Jibu

Acha ujumbe