Kiungo wa Tottenham Eric Dier amezuiwa kucheza mechi nne na faini ya £40,000 kwa kupanda viti na kwenda kumshambulia shabiki baada ya mechi mwezi Machi. Tukio hilo lilitokea baada ya Spurs kutolewa kwenye Kombe la FA dhidi ya Norwich
Shirikisho la soka limemzuia kucheza mechi nne kati ya tano zilizosalia. Lakini pia ameonywa kuhusu tabia hiyo.
Taarifa inasema: “Mchezaji wa Tottenham amekiri kuwa matendo yake wakati wakumaliza mechi ya Kombe la FA dhidi ya Norwich City haikuwa nzuri lakini alikataa kama alikasirishwa na maneno ya shabiki huyo.
Tukio lilitokea Machi 4 katika raundi ya 5 iliyoamuliwa kwa mikwaji ya penati, ambao Dier alishinda lakini Spurs walifungwa.
mwajuma
Sawa kabisa alivyo zuiwa kucheza mechi tena naona kama faini waliyo mpa ni ndogo vile#Meridianibettz
Franky
Hasira za uyu jamaa mkosesha mechi na fine juuu co kitu kizur kwa wachezaji kufanya mambo yaki puuzi kama hayo yata wakosti kama yalivyo mkosti Dier
Saupha mohamed
Mpiraa ndo ulivyo ..mashabiki wa namaneno sana ya maudhu …hakupaswa kufanya ivyooo ..
Magdalena
Habari mbaya hizi
Flomena
Hasira hasar siku zote
Ester jackson
Habari mbaya kwa mchezo wa mpira nikawaida sana hawa kwa timu pizani lazima iwe hivyo lakini hakupaswa kwenda kumpiga shabiki kwa sababu ya maneno in haki yake kupea adhabu.
Angelina
Achukuliwe hatua za kinidhamu
Rehema
Asira sio mzuri
Genia Sikaluzwe
Hawakutenda haki kabisa na piya haikuwa nzuri
Dorophina
Huo ni huonezi kwan yy ndio aliyemtuma shabiki sio haki
felister
sad news
Revina
Ameonesha nidhamu mbaya sema katika mpira hayo yanatokea sana
Amiri Kayera
Izo imotional lkn mchezaj muhim kuzuia hasira zake
Hope mwaikuka
Duh
Gabriel
Nice update 👍
Theckla
Hasira hasala
devotha
ukiwa kama mchezaji lazima uweze kuzuia hasira zako kwa sababu mashabiki wanakera sana, pole sana Erick naamini hautarudia tena kitendo hicho
Issa
Eric dier ni nidhamu mbovu adhabu iongezeke pia
Shafii
Kuto kua na nidhamu ya kimchezo hili ndilo tatizo lake.
Janeflora malisa
Nidham muhim kwa kwel
Samiah
Duuh?
Hamidu
Asante kwa update#meridianbettz
Omary lukumbi
Itakua shabiki alitoa maneno machafu maana sio jambo la kawaida kwenda kumpiga shabiki bila sabab
Aziza mushi
Hasira siyo nzuri
warda
Kweli hasira hasara#Meridianbettz
Adelta
Hasira hasara siku zote
Tahiya
Huo ni utovu wa nidhamu
Mariam mtandama
Duuuh
Khadija
Achukuliwe hatua za kinidhamu#meridianbettz
Njiku
Ipo poa sana hii
Ernest
Mashabiki muda mwingine tunazingua sana tukidhani uwanjani ni shughuli nyepesi
Furahav
Majanga
Salma
Dah!
David Pere
Alifanya Jambo la kishujaa sanaa maana mashabiki wengine no machozi sanaa
Zeiyana
Nidhamu ya mchezo inatakiwa sana kwa wana michezo ote ulimwenguni.