Klopp - "Siamini Kilichotokea."


Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa hataki kuamini kwamba wamepoteza mchezo wao wa Kwanza ndani ya Ligi Kuu England kwa kupokea kichapo cha mabao 7-2 mbele ya Aston Villa.

Usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, Liverpool ilikuwa ndani ya Uwanja wa Villa Park kusaka pointi tatu muhimu na kuambulia kichapo cha mabao 7-2 jambo lililomfanya Klopp asiamini anachokiona.

 

Klopp - "Siamini Kilichotokea."

Mabao ya Aston Villa yalifungwa na Ollie Watkins dakika ya 4, 23 na 39 na kumfanya asepe na mpira wake, John McGinn dk 35, Ross Barkley dk 55 na Jack Grealish alitupia mawili dakika ya 66 na 75, huku yale ya Liverpool yakifungwa na Mohamed Salah dakika ya 33 na 65.

Klopp amesema:”Ulikuwa ni usiku mbaya kwetu na wachezaji pia, vitali kuamini kwamba tumefungwa mabao mengi ila kwa kuwa imetokea hamna namna acha kuangalia tutafanyaje mechi zijazo.

 

Klopp - "Siamini Kilichotokea."

“Hatukupaswa kufungwa kwani tulikuwa tunatengeneza nafasi pia tena nyingi ila mambo hayakuwa mazuri kwetu hii ni mbaya hatupaswi kukata tamaa.” aliongeza kocha huyo.


Weka Pesa kwa Airtel Money!

Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!

Soma Zaidi

 

33 Komentara

    klopp azjikaze tu kiume ndo matokeo na akubali alishindwa maana hakuna mashindano ya kushinda bila kupitia changamoto na yeye changamoto yake ni iyo ya kufungwa magoli mengi na timu ambayo haina viwango vikubwa

    Jibu

    Klopp lazima uwamini ndio matokeo hayo ndio ishatokea usicho kiamini kitugani ndio mpila nampila dakika tisini ndio mwisho wayoye akunajinsi Klopp jipange upya kwakweli chuma saba sio kwahabu hiyo timu kubwa Kama hiyo chuma 7

    Jibu

    Matokeo ya kikatili sana kwa Bingwa mtetezi. Msemo wa Wahenga kwamba mpira unadunda kwenda upande wowote umedhihirika jana#meridianbettz

    Jibu

    Inabidi ukubali matokeo tuu maana cku zote unavuna ulicho kipanda!!!

    Jibu

    Dah acha ibaki story tuu.. Liverpool mjipange upyaa

    Jibu

    Klopp itabidi uamini tu ivyoivyo kwan ndio mambo yashatokea ivyo kikubwa kujipanga upya mjue mlikwama wapi

    Jibu

    Inabid ujiaminishe t hmn jinc

    Jibu

    Hayo ndiyo matokeo jizake tu kiume na ukubali matokeo Kisha ufanye masahihisho

    Jibu

    Kubali matokeo

    Jibu

    Hayo ni matokeo klop anatakiwa kukubaliana nayo tu ajipange upya

    Jibu

    M mwenyewe nashangaa mpaka mda huu

    Jibu

    Liverpool wamejua kushangaza watu

    Jibu

    utaamn tu

    Jibu

    kutokuamini uko kwio

    Jibu

    Mmh kichapo tu hi ndio epl

    Jibu

    Ni matokeo ya mpila ukiotewa unapgw t

    Jibu

    Anatakuwa aamini tu kwenye mpira chochote kinaweza kutokea

    Jibu

    Kloop.pole mzee mwenzangu ila ndio mpira huo

    Jibu

    ndio ishatokea uwamin usiamin

    Jibu

    Wamepata walicho stail credit kwa ASTon villa pongez kubwa kwa SPANA kufunga hat trick jana

    Jibu

    Kwer kabisa hata meme sijaamini Klopp

    Jibu

    Ndo matokeo hayo Amna jinsi

    Jibu

    Mpira una matokeo matatu, kubaliana na yote

    Jibu

    klopp azjikaze tu kiume ndo matokeo na akubali alishindwa maana hakuna mashindano ya kushinda bila kupitia changamoto na yeye changamoto yake ni iyo ya kufungwa magoli mengi na timu ambayo haina viwango vikubwa

    Jibu

    Matokeo sio mazuri kwa bigwa mtetezi klopp anatakiwa ajitasmini

    Jibu

    Kubali matokeo

    Jibu

    Sio kila mechi yakuingiza magoli. Akubaliane na matokeo ndomchezo ulivyo.

    Jibu

    Kkubali matokeo ni jambo la msingi

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Kwenye mtihani lazima apatikanike wa kwanza na wa mwisho , dimbani muamuz 90 dkk ,hayo nd matokeo jipange upya mjue makosa yenu ya wapi.

    Jibu

    Hayo ndio matoke baba

    Jibu

    akubali alishindwa maana hakuna mashindano ya kushinda bila kupitia changamoto na yeye changamoto yake ni iyo ya kufungwa magoli mengi na timu ambayo haina viwango vikubwa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.