Klabu ya KMC imefikia uamuzi wa kuachana na kocha wake mkuu Abdallah Bares kufuatia mlundikano wa matokeo mabovu ambayo wamekuwa wakiyapata.

Katika taarifa ambayo imetolewa na uongozi wa klabu hiyo inasema, maamuzi hayo yamefikiwa baada ya makubaliano ya pande zote mbili kuridhia kusitisha mkataba huo.
Hayo yanajiri baada ya jana KMC kukubali kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa ugenini Tanzanite Kwaraa Babati.
Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.
Huyu anakuwa kocha wa pili kufukuzwa ndani ya KMC kwenye msimu huu, baada ya Mbrazil Marcio Maximo naye kutupiwa virago kwa mtiririko huu huu wa matokeo mabovu.



