KOCHA wa Barcelona, Ronald Koeman, anaamini kuwa Barcelona itafanya kitu kuona msimu ujao Lionel Messi anacheza tena na Neymar ndani ya Camp Nou.
Hii ni baada ya hivi karibuni, Neymar kutamka wazi kuwa msimu ujao anataka kucheza tena na Messi ingawa haijaelezwa wapi kama ni PSG au Barcelona.
Neymar aliondoka Barcelona mwaka 2017 na kutua PSG. Alicheza na Messi ndani ya Barcelona kuanzia 2013, tangu msimu uliopita, staa huyo amekuwa akihusishwa kurejea viunga vya Camp Nou.
Nyota Messi mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu ambapo awali naye alikuwa anahitaji kusepa ndani ya kikosi hicho.
“Kila mmoja anafahamu suala la Messi, mtu pekee ambaye anayeweza kuamua hatma yake kwa sasa ni yeye mwenyewe.
“Klabu inapambana kuona inakuwa na wachezaji bora , nataka kuona Messi anacheza hapa na mchezaji bora (Neymar) ndani ya Camp Nou itakuwa vizuri zaidi,” amesema Koeman.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Dorophina
Wakifanya ivyo itakuwa poa sana miamba wawili wakikutana
Amani
Itakuwa poa sna Messi na Neymar watamani kucheza wote kwa Mara nyingine
Sadick
Bila shaka Koeman alielewa kwamba alichomaanisha Neymar anajaribu kuweka mambo sawa upande wao
Ester jackson
Nafikiri yuko sasa kwake kusema hiyo ila kwa upande wa wachezaji hao sidhani kama itakuwa hivyo kutokana na changamoto walizopitia ingawa kwa sisi mashabiki tutafirahi zaidi kama watakuwa pamoja
felister
itakua vizuri
Asia Abdy
Itapendeza kwakwel
Magdalena
Itakuwa vyema sana
Sabrina
Itakua poa sana hiyo wakikutana Timu moja
Issa
Kombineshen makin itarud tena
Hopemwaikuka
Gud idea
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa poa Sana
Janeflora malisa
Safi
Samira
Itakua poa mnooo
warda
Huyu Koeman nae baada alete ushindi anaanza kumtaman neymar