Beki wa Paris Saint-Germain, Layvin Kurzawa amesaini mkataba mpya wa miaka minne na mabingwa hao wa Ufaransa. Mnamo Januari, kulikuwa na uvumi wa yeye kuhamia Arsenal baada ya kubadilisha wakala wake.
Kurzawa sasa anawakilishwa na Kia Joorabchian, ambaye alifanya biashara ya kuwaleta David Luiz na Cedric Soares kuhamia viunga hivyo vya Emirates.
Kurzawa amecheza mechi 123 kwa PSG, akifunga mabao 13 ambayo ni pamoja na hat-trick ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Anderlecht mnamo 2017. Ameshinda mataji 14 katika misimu mitano hadi sasa huko Paris.
Baada ya kuanza kazi yake huko Monaco, Kurzawa alijiunga na PSG mnamo 2015 kwa €23 milioni, akisaini mkataba wa miaka mitano na miamba hao wa Ligue 1.
Saupha mohamed
Safi..ajitaidi aendelee kufanya vizuri
Aziza mushi
Vizuri sanaa aendelee kuongeza juhudi pia namkubali Sana.
Hamidu
Habari njema kwa mashabiki wake#meridianbettz
neema hassan
Vizuri aendelee kufanya mashambulizi
Asia Abdy
Safii
Omary lukumbi
Hii ni jambo zur kusain mkataba mpya pia kubak psg maana kwa arsenal akabugi kwenda kule Emirates
Fatuma kasomo
Nijambo mzuri aendelee kufanya vizuri
Rehema
Hii ni habari mzuri sn kwa mashabiki
Mwanaidi
P.S.G ndio timu pekee inayomsamini kwahiyo asifikirie kutoka hapo yeye mi wa hapo tuu
Tahiya
Ni mchezaji mzur anastahili kubaki apo PSG mana ni bora kwake
Samira
Psg wamemuona ni mchezaji mzuri na anastahili kubaki kuendelea kuonyesha umahili wake ndani ya club zaidi
Theonestina
Ajitaidi aendelee kufanya vizur
Samiah
Wamemuona nimchezaji mzuri sana anastahili kubaki Psg
Khadija
Ajitahid aenderee kufanya vizuri#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Ndiyo inavyo takiwa kutulia sehemu moja
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa psg dogo bora haendelee kulisongesha
Magdalena
Bora abaki tu apo apo aendelee kusongesha gurudumu la soka
Zeiyana
Maoni yangu hajitaidi pia nivizuri kuchezea clabu nyingi ili wajifunze mbinu za michezo asikai sehemu moja tu mri wake bado unaruusu
felister
Hongera kurzawa kwa kusaini mkataba mpya
Kenani
Good news
Caroline
Abaki uko uko panamfaa
isha
Ajitahid aenderee kufanya vizuri
Sadick
Baada ya kuondoka Thiago Silva imekuwa vema kubakiza mabeki imara#meridianbettz
Mariam mtandama
Habari mjema
Neema juma
Azidiii kupambanaaaa
lombo
akaze butu mazur yapo mbele
Janeflora malisa
Nice
Antony Luseno
Beki mzuri sana japo hawana nia ya kumuuza lakini kwenye hela kila jambo linawezekana na pemdekezo ni kwa united ndo imchukue
Angelina
Abaki tu hapo hapo PSG
Devotha
Asante kwa taarifa
Issa
Kurzawa ni vyema abaki hapo ili thamani yake ipande
Gabriel
Beki wa kushoto wa PSG Layvin Kurzawa alikuwa mlinzi wa kwanza kufunga hat-trick huku timu yake ikiicharaza Anderlecht bao 5-0 na kuweza kufuzu katika mechi za muondoano za klabu bingwa Ulaya.
Kurzawa alikuwa amefunga mabao 17 pekee kabla ya mechi hiyo kuanza lakini akafunga mabao matatu katika kipindi cha pili.
Neymar na Marco Verratti pia walifunga bao kila mmoja wao huku PSG ikifuzu kwa urahisi katika timu 16.
Bayern Munich pia walifuzu baada ya kuilaza Celtic 2-1 katika mechi nyengine.
Kurzawa alionyesha ishara za mshambuliaji katika mabao yake mawili ya kwanza akifunga baada ya mpira kugonga mwamba na kurudi uwanjani na baadaye kufunga bao la pili kwa kichwa kabla kufunga bao lake la tatu katikati ya wachezaji wengi.
Hivyo basi kurzawa anamchango mkubwa tena sana na PSG
Povel
Hongera kwake
Amani
imekuwa vema kubakiza mabeki imara#meridianbettz
Evaluziga
Vizuri aendelee kufanya mashambulizi
Ester jackson
Safii sana bora alivyo baki mana bado anaumuhimu sana katika timu ya PSG
Flomena
Ni beki mzuri Sana hongera kwake
Hope mwaikuka
Inapendeza sana
Amiri Kayera
Ni beki mzur na psg imeon mbar kumbakish
Shafii
Gud news
warda
Kurzawa Anajua bwana acheni Abaki tu#Meridianbettz
David Pere
Kurzawa Ana furahia maisha ya pale PSG so Hana mpango wa kuhama ,
Fatuma kasomo
Gud news
Furahav
Hongera sana.
Njiku
Safi sana kurzawa maana timu inafanya vizuri ya nini kuondoka hapo PSG chukua mataji hapo
Salma
Habari nzuri kwa mashabiki wa psg
Mwajuma
Uwamuzi wakubaki PSG upo sahihi