Kocha wa Chelsea, Frank Lampard amewamwagia sifa washambuliaji wa Tottenham Harry Kane na Heung-min Son kuelekea mchezo utaozikutanisha timu hizo mbili siku ya Jumapili.
Frank amesema itakuwa rahisi kwa washambuliaji hao kuvunja rekodi waliyoiweka na Didier Drogba ya kuwa muunganiko wa magoli mengi baina yao walipokuwa wakicheza pamoja Chelsea.

Kuelekea dabi hiyo ya London inayofwatiliwa na mashabiki wengi nchini Uingereza na Duniani kote inawakutanisha Mwalimu na Mwanafunzi wake, Jose Mourinho na Frank Lampard.
“Kuna tishio katika rekodi na wanaenda kuivusha kirahisi kwajinsi wanavyocheza,
“Ni kitu ambacho mimi na Didier tutanajivunia kiasi lakini huu ni mpirana unaendelea. Wachezaji wa kariba yao watataka kujaribu.” aliongeza Lampard
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.




Povel
Kwa mwendo wanaokwend nao wanawez kuvunja rekodi ni kwl na rekodi zimewekwa iliwachezaj wa kizazi kinachifuata wavunje na kuweka rekodi Zaid katika soka
Caroline
Kweli kabisa.Kane na son sasa ivi wapi vizuri
Khadija
Asante kwa taarifa
Shakila mrope
Asant kwa ripoti
Sabrina
Hao watu hatari wanajua sana
Dorophina
Lampard yupo sahihi vijana lazima watavunja rekodi kwanza wapo vizuri wanakipaji
Latifa juma mohamed
Gud news.
Magdalena
Inapendeza sana
Asia Abdy
Sahihi kabsa
Sauda
Hao watu makini sana
Ester jackson
Yuko sahihi wako vizuri sana
Issa
Son anawez kuvunja rekod
Fatina mfingi
Nice
Janeflora malisa
Safi
Tatu
Wawili hao wakikutana akialibiki kitu
Rahma
Nice
samiah
Nice
warda
Ilinikosa hii