Miongoni mwa majina yanayotajwa kurithi mikoba ya Roy Hodgson pale Crystal Palace, lipo jina la Frank Lampard, kocha wa zamani wa Chelsea ambaye hakuwa na wakati mzuri sana kutumia leseni yake ya ukocha kwa mara ya kwanza klabuni hapo.
Lampard anaweza kupata kazi hiyo endapo tu, Crystal Palace wataamua kumuacha kocha wao Roy Hodgson aondoke klabuni hapo mkataba wake utakapomalizika.
Kutoka kwenye jarida la the Telegraph orodha ya majina yaliyotolewa jina la Lampard limeonekana kupewa kipaumbele kuchukua nafasi hiyo. Japo kuna majina mengine kama kocha wa Burnley Sean Dyche na kocha wa zamani wa Bournemouth, Eddie Howe, ambaye anahusishwa kujiunga na Celtic kwa muda sasa.
Endapo Lampard atafanikiwa kuchukua mikoba pale Crystal Palace, basi anaweza kufanya sajili kadhaa kuimarisha kikosi chake. Miongoni mwa wachezaji hao ni Tammy Abraham ambaye anatarajiwa kuondoka klabuni hapo majira ya joto.
Bado ulimwengu unakumbuka kuwa Frank alikalia kiti cha kocha wa Chelsea kwa muda wa miezi 18 tu! huku akiweka rekodi mbaya sana. Ambapo aliongoza michezo 84, akishinda 44, kudroo 17 na kupoteza 23!
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Lampard yuko vizuri
Lampard hongera
Kama hatakizi vigezo wamchukue#meridianbett
Lampard chukua kaz
Lampad Yuko vizuri
Lampard anahitaji kujifunza zaidi hasa mbinu za mchezo
Lampard yuko vizuri sana
Kijana Yuko makini
Lampard yupo vizuri
Namkubar sana lampard
Lampard Yuko makini
Pongezi kwake
Ngoja tuone
Pongez kwake
Hongera yake
Lampard jembe
Lampard namuelewa sana
Pongezi kwake