Baada ya janga la Corona kusimamisha msimu wa NBA, sasa ni rasmi Ligi hiyo ya kikapu Marekani inarejea tena Julai 30. Michezo yote iliyobakia kwa msimu huu itakuwa tofauti na misimu mingine yote iliyopita kwani itachezwa katika kituo kimoja huko Frolida na bado hakutakuwa na mashabiki ili kuepesha maambukizi mapya ya Corona.
Timu 22 bora kati ya 30 zimewasili mjini Frolida kuanzia Julai 7,8 na 9 na zitacheza michezo nane ya kukamilisha msimu wa kawaida ili kupata idadi kamili ya timu zitakazocheza hatua inayofata ya play off.
Play Off itaanza lini?
Michezo ya Playoff itaanza rasmi Agosti 17, huku Michezo 7 ya Fainali ya NBA inatarajiwa kufanyika OKTOBA 13 kumpata Bingwa.
Je! Ni timu gani zitapatikana?
Timu 22 zitawasili Orlando, ikiwa ni pamoja na timu 16 ambazo kwa sasa tayari zimefuzu kucheza play off na timu sita ambazo zimebaki na michezo sita au pungufu kutoka kwenye kila ukanda.
Eastern Conference:
Milwaukee Bucks
Toronto Raptors
Boston Celtics
Miami Heat
Indiana Pacers
Philadelphia 76ers
Brooklyn Nets
Orlando Magic
Washington Wizards
Western Conference:
Los Angeles Lakers
Los Angeles Clippers
Denver Nuggets
Utah Jazz
Oklahoma City Thunder
Houston Rockets
Dallas Mavericks
Memphis Grizzlies
Portland Trail Blazers
New Orleans Pelicans
Sacramento Kings
San Antonio Spurs
Phoenix Suns
Timu zingine nane zilizobaki zote safari yao msimu huu imekwisha, zinaweza kuanza kujiandaa kwa msimu ujao wa NBA. Kila la kheri kwa mwaka ujao, mashabiki wa Golden State Warriors
Magdalena
Habari za kuleta furaha hizi
Franky
Covd-19 kweli hili yumbisha mambo mengi sana ila ni jambo la heri kwetu wapenda mpira wakikapu kurudi yani nice#meridianbet
Ester jackson
Good news
Dorophina
Habari njema hizi watu tuanze kubeti kikapu
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
Povel tz
Corona covid imevuruga mambo mengn Sana kila la kheri habar njema kwa wapenda NBA mpr wa KIKApu🏀🏀🏀🏀
Ernest
Bora watu tulimisi kuona wazee wa kudank
Mwanahamisi
Habari njema
Hamidu
Safi.. tulimiss burudani NBA ! Mkali Wngu Steve carry#meridianbettz
Caroline
NBA tuliisubiri Kwa hamu
Sabrina
Maoni:Duuh afadhali mambo yaendelee NBA
Gabriel
Habar njema sana 👍 hii kwetu mashabiki wa kikapu
Sadick
Nilipenda kuona Stephen Curry akionyeshana umwamba na Lebron James kwa bahati mbaya timu yake ilishatolewa#meridianbettz
Furahav
Habari nzuri
Amiri Kayera
Nc tuliimic
Theonestina
Safi sana
Omary lukumbi
NBA kurudi tena hili ni jambo la furaha sana covid 19 ilisimamisha kila baadhi ya sekta ikafanya mpk binadamu kwa binadamu tunaogopana kwa sabab ya haya.maradhi mpk chama cha basketball kilizuia wachezaj kupeana mikono kabla ya kusimama kabisa
David Pere
Ni Jambo zuri Sana Kama itarejea kwa haraka maana sisi mashabiki wake tunahitaji kuangalia Burudani
Tatu
Good news
Flomena
Habari nzuri sana hizi