Mshindi wa Ballon d’or mara 6 Lionel Messi amemwita Raisi wa kalabu ya Barcelona na Uongozi wake ni waongo baada ya kushindwa kutunza ahadi yao.
“Niliiambia klabu pamoja na raisi kwamba nahitaji kuondoka. Nimekuwa nikimwambia hivyo kwa kartibu msimu mzima. Niliamini ni muda wangu kukaa pembeni. “Messi aliiambia Goal
“Naamini klabu inahitaji wachezqaji wengi wachanga, wapya na nilidhani muda wangu Barcelona umekwisha, najisikia vibaya kwakuwa nilisema nitamalizia maisha yangu ya soka hapa.
“Sikusema hayo kwasababu ya matokeo ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Bayer Munich, hapana – nilifikia maamuzi hayo kwa muda mrefu sasa.
“Nilimwambia raisi na mara zote amekuwa akiniambia mwisho wa msimu utachagua kama utaendelea kubaki au utaamua kuondoka, lakini ameshindwa kutunza ahadi yake.”aliongeza Messi
Hata hivyo Lionel Messi ametangaza kusalia katika kikosi cha Barcelona kwa msimu wa 2020/2021 kufuatia ugumu wa masuala ya kisheria katika mkataba wake yanayoweka zuio la yeye kuikacha klabu hiyo kwa muda huu.
Katika maelezo yake mengine, Messi amesema “Sikuwa na furaha nikataka kuondoka,nabakia kwenye klabu ili nisiingie kwenye mvutano wa kisheria. Utawala wa Bartomeu ni janga kwa klabu.”
Timu iliyokuwa inapewa nafasi kupata saini ya nyota huyo ilikuwa ni Manchester City.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Flomena
Good news
Ernest
Hili Sakata la Messi linazidi kumtia Doa rais wa Barcelona maana kuna mengi yanazungumzwa juu yake
JULIANA WILBARD ALEX
Safi
Lydia Emmanuel Magoti
Ilisakata lamessi linazidi kupamba Moto atimayake haijulikani itakuwaje
Sauda
Utawala wa Bartomeu ni shida kwenye Klab
Elika
Hilo sakata tuwaachie wenyewe
Adelta
Mashabiki hatuelewi hili sakata la Messi mwisho wake itakuwaje?@meridianbettz
Dorophina
Mbona wanawachanganya mashabiki wa Barca hawaelewi lipi sahihi washike ila Messi asinge mchafua rais wake
magdalena
hawa sasa barcelona nao wanatindinganya mambo mara naondoka mara nabaki sasa tuelewe lipi
Shafii
Barca wanaamini kwamba messi ndio mzizi wa club endapo watamruhusu msimu huu watakua wamepotea.
Zeiyana
Mtu star kama messi si vyema mambo hanayo yafanya kwa wakati huu kwa mtazamo wangu naona kama hanajiaribia histor yake tu
kabogoro
kam mnfatilia vzr Rais wa sas wa Barca bwana Batromeo aliharibu hali ya club kwa kutowajali marijendali wa klabu kwa kutothamin mchango wao na kuwaacha wana staafu hovy kweny vilabu vingine mtu kam iniesta na xavi ilibid wabakie Barca hadi leo.
kam makocha wasaidiz kwakuwa wao ndio wanaijua timu vzr na style ya uchezaji.
Latifa juma mohamed
Safi
Caroline
Wangemfanyia mpango aondoke tu jmn
felister
Messi anatuvuruga sasa tuelewe nini sasa…?
farida ahmadi
Yuko sahihi kabisah
Janeflora malisa
Safi
Amiri Kayera
Jambo zur mess kubaki Barca
Issa
Mess kubaki barca ni uhakika
Mwanahamisi
Jambo zuri messi kubaki barca
Shani
Mess kubaki ni sahih
aisha
Duuh haya mambo naona yanazidi kupamba moto
Hope mwaikuka
Jaman yaan umekua kama msukule sao wakuache bas na wao
Nasra
Safii
Hidaya
Tunasubiria movie itaishaje
Devotha
Abaki lakin mkataba wake ukiisha aondoke tu
Genia Sikaluzwe
Barca wanaamini kwamba messi ndio mzizi wa club endapo watamruhusu msimu huu watakua wamepotea
Faraja molell
Hili sakata linazid kupmb moto
David Pere
Barca wanaamini kwamba messi ndio mzizi wa club endapo watamruhusu msimu huu watakua wamepotea.
Gabriel
Sakata la Messi linazidi kumtia Doa rais wa Barcelona maana kuna mengi yanazungumzwa juu yake
Theonestina
Good
Isaya massawe
Nashindwa kuelewa kwann wamekua hawaelewani
Sadick
Bartomeu amekuwa akiandamwa sana pande zote, wachezaji wengi waliosajiriwa Barcelona hawana kiwango cha kucheza timu hiyo kulingana na falsafa ya timu kuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kufikiria na kuchezea mpira#meridianbettz
Rose kapinga
Mbona mambo yanakua mengi hapoo!!
Khadija
Sasa anataka kuondoka kuna nn!!!#meridianbettz
Rehema
Bonge la makala
Sabrina
Safi sana
Ester jackson
Duuh ni vibaya sana mana hata kama amebaki lakini nafikiri hatacheza kwenye kiwango kizuri mana hapo hapataki
warda
Jamaa hawataki aondoke duuu
Neema
Abaki tu. Ila mambo mengine yatuliage
Furahav
Malizia tu msimu wa mwisho.
Samiah
Safi