Lisandro Martinez Kukosekana dhidi ya Ipswich Leo

Lisandro Martinez inaelezwa alikua na majeraha madogo ambayo yalimfanya akashindwa kujiunga na timu ya taifa ya Argentina, Hivo majeraha hayo yanaonekana bado hayajapona na ndio sababu atakosekana katika mchezo wa leo ugenini dhidi ya klabu ya Ipswich.
Makala iliyopita
Perez : Rodri Hakustahili Ballon D’orMakala ijayo
Leicester City Yampa Kazi Van Nistelrooy