Mabingwa Liverpool wanaendelea na mbio zao za kuvunja rekodi ya kutwaa ubingwa kwa alama nyingi katika Ligi Kuu England wakati watawakaribisha Burnley saa 11:00 jioni huko Anfield.
Majogoo wamebeba taji hilo msimu huu, wakishinda michezo yao 30 kati ya 34, hadi sasa wamejikusanyia alama 92 huku zikibaki game nne msimu kumalizika.
Timu ya Jurgen Klopp inaweza kuvunja rekodi ya alama 100 iliyowekwa na Manchester City msimu wa 2017/18 na itawezekana endapo wakishinda michezo mingine mitatu.
Liverpool Wanaingia katika game ya leo, wakiwa na rekodi bora dhidi ya Burnley, wameshinda michezo yao tisa kati ya 11 iliyopita, matokeo ambayo ni
mazuri na yanaweza kuwabeba.
Ingawa Klopp atahitaji umakini zaidi kwani Burnley sio wakuchukuliwa poa, wamechukusanya Alama 10 kutoka michezo yao minne iliyopita na ingawa wamefunga bao moja tu kwenye michezo hiyo, wanafaida ya kuruhusu wavu wao kutikiswa mara moja tu. Kama kawaida, timu ya Sean Dyche ni wabishi hawafungiki kirahisi.
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Liverpool
Sadick
Burnley sio timu ya kubeza , ni kiboko ya vigogo. Bila shaka Liverpool watataka kuvunja record hiyo#meridianbettz
Adelta
Liverpool Yuko vizuri
Mwanahamisi
Liverpool safi sana
Hamidu
Liverpool mpo vzr pamoja mashabiki wake#
Njiku
Game ngumu sanaa
Issa
Liver moto
fatumakasom
Ngumu kumeza hii game
Hope mwaikuka
Vzur tu
Amiri Kayera
Chelsea atashinda
Franky
Safii
Janeflora malisa
Good
devotha
ushindi kwa liverpool ni uhakika
Amani
Burnley sio wakuchukuliwa poa, wamechukusanya Alama 10 kutoka michezo yao minne iliyo pita Bila shaka Liverpool watataka kuvunja record hiyo#meridianbettz
Ernest
Kwa msimu huu Liverpool wananafasi kubwa sana ya kuvunja rekodi ya kuchua kombe wakiwa na alama nyingi zaidi
Samiah
Liverpool yuko sawa
Furahav
Watashinda tu
Edgar
Ushindi lazima
Theonestina
Liverpool mpo juu
Gabriel
Hatar sana 👍
Omary lukumbi
Ngoja tuone kama watafika hzo point 100 walizo zitaja kuzipata
Saupha mohamed
Mechi kalii
farida ahmadi
Liverpool jeshii
Salma
Hatari sana
Latifa juma mohamed
Jeshi la mtu mmoja Liverpool halikamatiki
Frank Patrick
Anfield hapafungiki
David Pere
Wamebanwa leo record hawawezi kuivunja
Flomena
Liverpool wako vizuri Ila wakilewa sifa za Hilo kombe wataburuzwa
mwajuma
Liverpool safi sana#Meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Liverpool wako vizuri msimu lazima wa chukuwe kombe
isha
Liverpool ni timu nzuri sababu kocha wao yupo makini na kazi yake na klopp hana kazi mbaya
Ester jackson
Liverpool hawakuwa rahisi kumuacha baryen washinde kirahi mana wenyewe wanahitaji point tatu ndio mana wakatoka suluhu
Rehema
Liverpool iko vizur sana
Zeiyana
Ndio Liverpool wanajulikana mabingwa lakini kwa mchezo huu wasiwachukulie poa sana burnel
tumaini
Maoni:safi sana Liverpool
Khadija
Safi sana livepool#meridianbettz
felister
Liverpool kazeni buti
Dorophina
Mechi ngumu sana kwa liver maana Burnley na wenyewe wapo vizuri
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet
Isaya massawe
Burnley kamkazia bingwa
Magdalena
Liverpool wamevunja rekodi ambayo hawakuwai kuvunja kwa muda mrefu
Shafii
Wenzetu wanaheshimu Sana rekodi licha ya kuchukua ubingwa.
mwakalosi
game ngumu ya liver ni Chelsea tu
warda
Haya kazi kwao#Meridianbettz
sabrina
Liverpool jeshiii