Klabu ya Liverpool imeendelea kupata majanga baada ya kapteni wa timu hiyo Jordan Henderson kuumia wakati anaitumikia timu yake ya taifa dhidi ya Ubelgiji.
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza Gereth Southgate amethibitisha kwamba kiungo wake Jordan Henderson alitolewa wakati wa mapumziko kwasababu misuli yake ilibana katika mechi dhidi ya Ubeligiji na nafasi yake kuchukuliwa na Harry Winks.
Bado haijafahamika ukubwa wa jeraha lake anatarajiwa kufanyiwa uchunguzi mapema wiki hii.
Pia Nahodha wa timu ya taifa ya Scotland Andy Robertson ameumia nyama za nyuma ya paja akiwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa na ataukosa mchezo dhidi ya Slovakia.
Jumla ya Majeruhi katika klabu ya Liverpool mpaka sasa,
1: Trent
2: Gomez
3: VVD
4: Robertson
5: Henderson
6: Salah (Covid 19)
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
magdalena
liverpool kwa msimu huu ubingwa watausikilizia kwa wenzao tu sababu ina wakati mgumu sana juu ya kupata wakushika nafasi za waliopo majeruhi
Ester jackson
Daaah pole sana klabu ya Liverpool mana mnawakati mgumu sana Wa majeruhi wengi wenye kiwango cha uchazaji mzuri ila ninaimani kuwa kocha kolppa ni kocha ambae anajua kusoma nyakati tofauti na kufanya mambo mazuri kwenye klabu yake
Rahma
Izo ni changamoto tu pambaneni mtafanikiwa
Elika
Dah poleni sana wana Liverpool
Carolyn
Izo ni changamoto tu.haina budi kukabiliana nazo
Fatina mfingi
Hizo Ni changamot tu pambanene mtazishinda
Adelta
Liverpool pole na majanga
Rahma
Izo ni changamoto jitaidini mpambane mshinde
Rahma
Izo ni changamoto tu pambaneni mtafanikiwa
zeiyana
Liverpool wanawakati mgumu sana ukiangalia wachezaji wao makini wote wapo benchi kwa majeraha waliyopata
Angelina
Nice update
Hopemwaikuka
I feel sorry for them
Mwajumah
Daah pole sana Liverpool
Sadick
Hili linazidisha ile hali ya klabu nyingi kutopendezwa na wachezaji wao kuchezea timu za Taifa na pale wanapoumia hasara kubwa hubebwa na Club anayocheza kwa maana kutosaidia timu yake kwa muda anaokuwa anauguza majeraha. Hili linaweka katika hatari kwa Liverpool kutetea ubingwa msimu huu.
Povel
Liverpool msimu huuu wajipange kwl kwl
Issa
Kloop anapita kweny kipind kigumu na liverpool
Sabrina
Duuh Liverpool wapo katika kipindi kigumu km Wana gunduu
aisha
Duuh pole sana klopp kwa kipindi kigumu unachopitia
Sauda
Habari mbaya kwa wapenz wa Liverpool.
Saupha mohamed
Liverpool majanga sana
Tatu
Liverpool wasipokuwa makini wanawwza kukosa kombe msimu huu