Liverpool Mipango yao kwa Zubimendi

Liverpool mpaka sasa hawajafanya usajili wa mchezaji hata mmoja kwenye kikosi chao kuelekea msimu wa 2024/25 hivo kuacha maswali kwa wapenzi wa klabu hiyo, Lakini taarifa zinaeleza kua Martin Zubimendi unaweza kua usajili wa kwanza wa klabu hiyo kuelekea msimu mpya.
Makala iliyopita
Fadlu Davids Simba, Anataka Ushindi Dhidi ya YangaMakala ijayo
Sancho Bado Yupo Sokoni