Liverpool imeona ofa yao ya kumnunua Yan Diomande ikikataliwa, baada ya mchezaji huyo kuonyesha nia ya kujiunga na PSG, huku Liverpool pia ikimvutiwa na Bradley Barcola.

Wakati huo huo, Nottingham Forest wamefungua mazungumzo ya kumsajili Curtis Jones kwa dau la takriban £35m–£40m, ingawa bado hakuna makubaliano rasmi.
Kocha José Mourinho anaweza kumuuza Eduardo Camavinga, huku Liver na Manchester United zikihusishwa na mchezaji huyo. Liverpool kwa sasa ina wingi wa viungo, lakini uwezekano wa baadhi kuondoka unaweza kufungua mlango wa usajili mpya.
Baada ya kuondoka kwa Andy Robertson kuelekea Tottenham, Liver italazimika kuteua nahodha msaidizi mpya kabla ya kuanza kwa msimu mpya.
Ripoti nyingine zilidai kuwa kipa wa Brazil Alisson alivaa jezi ya rangi ya zambarau alipocheza dhidi ya Japan.
Nottingham Forest pia wameanza mazungumzo na Liverpool kuhusu Curtis Jones, wakijadili dili la £35m–£40m na mkataba hadi 2031, bila makubaliano kufikiwa bado.



