Taarifa zinasema Liverpool zimekubaliana na Preston kima cha £2 milioni kwaajili ya kumsajili beki Ben Davies kuelekea siku ya mwisho ya dirisha la usajili kufungwa.
The Reds walifungua mazungumzo na klabu hiyo inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini uingereza na Davies anatarajiwa kufanya vipimo vya afya leo Jumatatu.
Liverpool pia ilihusishwa na usajili wa mchezaji wa Marseille, Duje caleta-Car lakini dili hilo lilishindikana kutokana na klabu hiyo inayoshiriki ligue 1 kushindwa kupata mbadala.
Meneja wa Liverpool Jurgen Kloop alidhibitisha kwamba atajaribu kusajili mchezaji angalau mmoja, baada ya mabeki wote wanne wa safu ya kati kupata majeraha.
Alipoulizwa juu ya nia ya timu yake kwa beki huyo baada ya Liverpool kushinda 3-1 huko West Ham Jumapili, Klopp aliiambia Sky Sports: “Ben Davies, Tottenham … sina la kusema juu yake. Kwa safu hii sio shida , labda ikiwa tu kitu kingine kitatokea. ”
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.
Magdalena
Liverpool wanataka kufanya mapinduzi naona
Adelta
Meneja wa Liverpool anataka kuwaonyesha yeye ni kiwango kizuri
Sania
Liverpool wanatakiwa wafanye mageuzi makubwa kwa kipindi hiki
Lydia Emmanuel Magoti
Liverpool inatakiwa ifanye vizuri ili Mambo yakae sawa
Rahmal
Liverpool waongeze juhudi ya kufanya vizuli kwa kipindi iki
Dorophina
Liverpool wamefanya usajili mzuri sana
Khadija
Nice
Hopemwaikuka
Ni jambo zur
samiah
Nice
Janeflora malisa
Vzr
warda
safi sana