Liverpool Yamfukuzia Bremer kama Mbadala wa Van Dijk

Makala iliyopita
Barcelona Wanaendelea WalipoishiaMakala ijayo
Camavinga Mbioni Kurejea
Klabu ya Liverpool inamuona beki Van Dijk kama yuko mwishoni kwenye ubora wake hivo wameanza kutafuuta mbadala wa beki huyo mapema, Jina ambalo limeongoza orodha ya wachezaji wanaotakiwa kuvaa viatu vya Van Dijk ni beki huyo raia wa kimataifa wa Brazil.