Luis Suarez Kurejea Uwanjani Wiki Hii.

Habari njema kwa mashabiki wa Atletico Madrid na La Liga kwa ujumla, Luis Suarez kurejea tena uwanjani baada ya kupona COVID19.

Suarez alikosekana kwenye michezo 4 ya Atletico baada ya kupata maambukizi ya COVID19 alipokuwa na timu ya taifa mwezi uliopita.

Taarifa rasmi kutoka Atletico Madrid zimethibitisha – Luis Suarez atajiunga na wachezaji wenzake kwenye uwanja wa mazoezi kuanzia leo (Ijumaa) baada ya vipimo kuonesha amepona ugonjwa huo (COVID19).

Suarez Akiwa Mazoezini Atletico Madrid

Luis Suarez atajiunga na mazoezi ya kikosi cha kwanza kesho (Ijumaa) baada ya kukutwa hana maambukizi ya COVID19 kwenye vipimo maalumu vya La Liga PCR.

“Baada ya kupona COVID19 na kufuata taratibu zote za afya, atajumuishwa kwenye mazoezi ya kikosi cha kwanza na atakuwa chini ya uangalizi wa kocha – Diego Simeone.” Taarifa rasmi kutoka Atletico Madrid iliripoti siku ya Alhamisi.

Simeone atafanya maamuzi kama atamtumia Suarez kwenye mchezo dhidi ya Real Valladolid siku ya Jumamosi au ataamua kumpumzisha, maamuzi haya yatategemea hali ya utayari kwa mshambuliaji huyu raia wa Uruguay.


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

24 Komentara

    Habari njema sana

    Jibu

    Habari nzuri hii kwa sisi mashabiki

    Jibu

    Good newz

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Ni jambo jema

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Inapendeza san

    Jibu

    Luis suarez karibu Sana mashabiki wanakusubiri kwa hamu

    Jibu

    Jambo zuriii

    Jibu

    Namkubali sana suarez ni habari njema hii

    Jibu

    Saf

    Jibu

    Luis Suarez kutoka kuwika Liverpool na baadaye Barcelona na sasa amehamishia makali yake kwa Diego Simeone

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Big up tumefurahi sana mashabiki wake

    Jibu

    Mungu ni mwema

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Afadhali amepona

    Jibu

Acha ujumbe