Habari njema kwa mashabiki wa Atletico Madrid na La Liga kwa ujumla, Luis Suarez kurejea tena uwanjani baada ya kupona COVID19.
Suarez alikosekana kwenye michezo 4 ya Atletico baada ya kupata maambukizi ya COVID19 alipokuwa na timu ya taifa mwezi uliopita.
Taarifa rasmi kutoka Atletico Madrid zimethibitisha – Luis Suarez atajiunga na wachezaji wenzake kwenye uwanja wa mazoezi kuanzia leo (Ijumaa) baada ya vipimo kuonesha amepona ugonjwa huo (COVID19).

“Luis Suarez atajiunga na mazoezi ya kikosi cha kwanza kesho (Ijumaa) baada ya kukutwa hana maambukizi ya COVID19 kwenye vipimo maalumu vya La Liga PCR.
“Baada ya kupona COVID19 na kufuata taratibu zote za afya, atajumuishwa kwenye mazoezi ya kikosi cha kwanza na atakuwa chini ya uangalizi wa kocha – Diego Simeone.” Taarifa rasmi kutoka Atletico Madrid iliripoti siku ya Alhamisi.
Simeone atafanya maamuzi kama atamtumia Suarez kwenye mchezo dhidi ya Real Valladolid siku ya Jumamosi au ataamua kumpumzisha, maamuzi haya yatategemea hali ya utayari kwa mshambuliaji huyu raia wa Uruguay.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Magdalena
Habari njema sana
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri hii kwa sisi mashabiki
Caroline
Good newz
Sarah
Habari nzuri
Neema
Ni jambo jema
Sauda
Safi sana
Issa
Safi sana
Janeflora malisa
Safi
Dorophina
Habari njema
Shakila mrope
Inapendeza san
Adelta
Luis suarez karibu Sana mashabiki wanakusubiri kwa hamu
Saupha mohamed
Jambo zuriii
Samira
Namkubali sana suarez ni habari njema hii
lombo
Saf
Sadick
Luis Suarez kutoka kuwika Liverpool na baadaye Barcelona na sasa amehamishia makali yake kwa Diego Simeone
Shafii
Gud news
Mariam mtandama
Safi
Fatina mfingi
Ni habar njema kwa kweli cc mashabiki wake
aisha
Big up tumefurahi sana mashabiki wake
Hopemwaikuka
Mungu ni mwema
Khadija
Nice
Tatu
Habari nzuri
Tahiya
Safi sana
warda
Afadhali amepona