Mshambuliaji wa Ubelgiji anayekipiga katika klabu ya Inter Milan ya Italia, Romelu Lukaku jana amefanikiwa kuvunja rekodi ya gwiji la soka Ronaldo de Lima.
Katika mchezo wa jana dhidi ya Crotone ambao walishinda goli 6-2, Mshambuliaji huyo alifanikiwa kufunga goli dakika ya 64 na kukamilisha magoli 50 tangu ajiunge na klabu ya Inter Milan.
Rekodi hiyo ilikuwa kuwa inashikiliwa na Ronaldo de Lima ambaye alikuwa mchezaji wa kwanza ambaye si raia wa Italia kufunga magoli 50 katika mechi 78 za kwanza.
Lukaku amekwisha cheza jumla ya mechi 70 tangu ajiunge na klabu hiyo na jana amefanikiwa kufikisha goli lake la 50, katika rekodi ambayo imedumu kwa miaka kadhaa.
Ronaldo Miaka 23
Mechi : 78
Magoli : 50
Lukaku Miaka 27
Mechi : 70
Magoli : 50
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Angelina
Goodnews
Magdalena
Safi sana lukaku
Sania
Lukaku jembe
Hopemwaikuka
Lukaku upo vzur pale man ulikua uonekan mshkaj
Dorophina
Pongezi kwake lukaku
Chiku
Lukaku baba lao
Rahmal
Lukaku pongezi kwako sana
Janeflora malisa
Safi
Mwanahamisi
Lukaku noma
Ernest Kimeru
Lukaku yupo vizuri sana
Adelta
Lukaku anazidi kutufurahisha mashabiki
Issa
Lukaku noma
Lydia Emmanuel Magoti
Lukaku yupo vizuri Sana
Latifa juma mohamed
Jembe lukaku
Khadija
Namkubali sana lukaku
warda
Lukaku anafanya poa sana
Sabrina
Lukaku mtu mbad