Mshambuliaji wa Inter Milan, Romelu Lukaku anaripotiwa kuwa kikaangoni baada ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa hotelini, huku sherehe ikiisha wakati polisi wakiwasili eneo hilo.
Polisi waliwasili eneo la tukio baada ya kupata simu mida ya saa tisa usiku na kusafiri hadi Milan baada ya kupokea simu hiyo.
Taarifa iliyoripotiwa na Corriere della Sera inasema kuwa polisi waliwasili mida ya saa 9 usiku na kuingia hotelini, mahali ambapo sherehe ya kuzaliwa ya Lukaku ilifanyika, katikati ya miji wa Milan.
Sherehe hiyo ilifanyika baada ya ushindi wa bao 3-1 dhidi ya Roma, ikihusisha watu zaidi ya 24 wakiwemo Achraf Hakimi, Ivan Perisic na Ashley Young, pamoja na meneja wa hoteli aliyeratibu tukio zima.
Wote waliokamatwa kwenye tukio hilo wanawajibishwa kwa kukiuka taratibu za kujikinga na maambukizi ya Covid19.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Pole sana lukaku
Lukaku pole sana
Pole sanaa lukaku
Dah covid vip tena
Pole Sana lukaku
Pole yao
Duhh atari
Duuuh Sio poa
Pole yake
Kwani lukaku hajui Sheria zilizowekwa za covid 19
Mbona sheria zao ni ngumu sana
Pole yao
Duuuh
Pole sana
Duuh hatari
Pole yake