Lwanga Ajiunga na Simba Sc.


Klabu Simba SC imethibitisha kukamilisha Usajili wa Kiungo Mkabaji wa Kimataifa wa Uganda, Taddeo Lwanga.

Akiwasili kwa Mabingwa hao Watetezi  wa Tanzania Bara kuwa mbadala wa Mbrazil, Gerson Fraga ambaye Ni majeruhi wa muda mrefu.

 

 

Taddeo amecheza Katika Vilabu vya Vipers SC, SC Villa na Express FC zote za nyumbani kwao Uganda Kisha kutimkia Tanta SC ya Misri.

Mchezaji huyo aliachana na na Tanta Julai Mwaka huu – Lwanga Ni sehemu ya Wachezaji wanaounda Kikosi Cha Timu ya taifa ya Uganda Cranes.


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

26 Komentara

    Karibu msimazi uje kupambana

    Jibu

    Kila LA kheri lwanga

    Jibu

    Karibu jisikiye nyumbani

    Jibu

    karibu sana simba

    Jibu

    Karib Cham la wana

    Jibu

    Tunataka vitendo hatutaki majivuno

    Jibu

    Karibu sana

    Jibu

    Kalibu kwenye chama lawatupiaji

    Jibu

    Naona Simba wanazidi kujidhatiti ni jambo zuri katika kufukizia mbio za ubingwa

    Jibu

    Hongera my team

    Jibu

    Hapo mnanifurahisha simba

    Jibu

    Kila lakheri lwanga

    Jibu

    Dogo Simba tunataka uonyeshe vitu kama unajiona hamna vitu mguuni bora ujinge Utopolo

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Simba jeshiii

    Jibu

    Lwanga bonge la player tukutane kitamaifa na vpl

    Jibu

    Naona Simba wanazidi kujidhatiti ni jambo zuri katika kufukizia mbio za ubingwa

    Jibu

    Babu mwingine huyo mikia inatisha

    Jibu

    Njema zaid

    Jibu

    Karibu ushuan

    Jibu

    Vzr

    Jibu

    Karibu .msimbazi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Karibu lwanga kwenye pira birian

    Jibu

Acha ujumbe