Klabu Simba SC imethibitisha kukamilisha Usajili wa Kiungo Mkabaji wa Kimataifa wa Uganda, Taddeo Lwanga.
Akiwasili kwa Mabingwa hao Watetezi wa Tanzania Bara kuwa mbadala wa Mbrazil, Gerson Fraga ambaye Ni majeruhi wa muda mrefu.
Taddeo amecheza Katika Vilabu vya Vipers SC, SC Villa na Express FC zote za nyumbani kwao Uganda Kisha kutimkia Tanta SC ya Misri.
Mchezaji huyo aliachana na na Tanta Julai Mwaka huu – Lwanga Ni sehemu ya Wachezaji wanaounda Kikosi Cha Timu ya taifa ya Uganda Cranes.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!
Sabrina
Karibu msimazi uje kupambana
Magdalena
Kila LA kheri lwanga
Adelta
Karibu jisikiye nyumbani
Khadija
karibu sana simba
Fatina mfingi
Karib Cham la wana
Ester jackson
Tunataka vitendo hatutaki majivuno
Caroline
Karibu sana
Lydia Emmanuel Magoti
Kalibu kwenye chama lawatupiaji
Ernest
Naona Simba wanazidi kujidhatiti ni jambo zuri katika kufukizia mbio za ubingwa
Samira
Hongera my team
Tatu
Hapo mnanifurahisha simba
Dorophina
Kila lakheri lwanga
Sylvester
Dogo Simba tunataka uonyeshe vitu kama unajiona hamna vitu mguuni bora ujinge Utopolo
Fatuma kasomo
Safi
Asia Abdy
Simba jeshiii
Povel
Lwanga bonge la player tukutane kitamaifa na vpl
David Pere
Naona Simba wanazidi kujidhatiti ni jambo zuri katika kufukizia mbio za ubingwa
Issa
Babu mwingine huyo mikia inatisha
Latifa juma mohamed
Njema zaid
Hopemwaikuka
Karibu ushuan
Janeflora malisa
Vzr
[email protected]
Karibu msimbazi
Saupha mohamed
Karibu .msimbazi
Mariam mtandama
Safi
samiah
Safi
warda
Karibu lwanga kwenye pira birian