Real Madrid wanaripotiwa kutarajia kumfukuzia mshambuliaji wa Tottenham Hotspur Son Heung-min.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Korea Kusini ametengeneza ushirikiano mzuri sana na Harry Kane msimu huu na tayari anajivunia mabao 15 na asisti nane katika mashindano yote kwenye kikosi cha Jose Mourinho.
Spurs inasemekana wanatarajia kumpa kandarasi mpya kama jambo muhimu au dharura, na mkataba wake wa sasa unaisha mwishoni mwa kampeni ya 2022-23.
Hata hivyo, mwandishi wa habari wa Uturuki Ekrem Konur anadai kwamba meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane amempenda Son na anapenda kumleta mshambuliaji huyo pale Bernabeu msimu wa joto.
Konur anaongeza kuwa mabingwa wa La Liga hivi karibuni watawasiliana na wawakilishi wa Tottenham juu ya uwezekano wa kufanya makubaliano ya biashara hii, ingawa Mourinho ameonesha matumaini juu ya kumbakiza Son kwenye vitabu vya Spurs.
Mchezaji huyo wa miaka 28 amefunga mabao 99 na kuweka 54 zaidi kwa Spurs tangu awasili kutoka Bayer Leverkusen katika msimu wa joto wa 2015.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Dorophina
Hapo mchawi mkwanja tu atatoka
Chiku
Pesa ndo msema kweli
Lydia Emmanuel Magoti
Pesa ndio mpango mzima kwasababu uyo mkorea yupo moto
Adelta
Kwa kijana mambo yanazidi kumnogea
Mwaka wake
Sania
Waongeze dau watamchukua tu
Angelina
Son yuko vizuri watie mzigo wamnase
Sarah
Hapo nimambo yapesa tu waweke dau watampata
Sabrina
Son Yuko vizuri wafanye kweli wampate saini yake
Caroline
Son yupo vizuri
felister
mwenye pesa ndefu ndo atakayemchukua
Mwanahamisi
Pesa ndio kila kitu
Hopemwaikuka
Son namuelewa sana
Magdalena
Mkwanja ndo mpango mzima
warda
Ila Zidane anapendaga kuchukua wachezaji wanaojua sana
Issa
Aondok spurs