Julai 2018, ulimwengu ulishuhudia mchezaji bora duniani akiondoka Real Madrid na kujiunga Juventus. Kwa mujibu wa kocha wa Shakhtar Donetsk – Luis Castro, hili ni kosa kubwa kwa Los Blancos.
Cristiano Ronaldo alikuwa ndio muhimili mkuu kwa Madrid na aliwasaidia kubeba taji la UEFA misimu mitatu mfululizo kabla ya kutimka klabuni hapo na kuhamia Juventus.
Kuelekea mchezo dhidi ya Real Madrid, Castro amezungumzia suala hilo na kusema “Unapokuwa na mchezaji kama Ronaldo kwenye timu yako, hupaswi kabisa kuruhusu aondoke.
“Tunamuongelea mchezaji wa aina yake, mchezaji bora duniani ni mashine kubwa. Sitaki kumfananisha lakini kwangu Ronaldo ni mchezaji bora duniani. Anahistoria nyuma yake ambayo ni mfano wa kuigwa.
“Aliondoka akiwa na miaka 11 na kujiunga Lisbon ili akawe mcheza mpira, aliiacha familia yake. Ronaldo ni mchezaji aliyejipandisha mwenyewe akiwa na uelewa wa aina yake.
“Kwangu mimi, Ronaldo ni mfano kwa watoto wetu. Watu wanamsema sana ‘je akifanya hivi, kwanini asitumie pesa nyingi kwenye mambo mengine?
“Majibu yake anayotoaga uwanjani kila mara akiwa anatambua alipotokea. Siku watakayotengeneza filamu ya Cristiano Ronaldo na watu wakaona alipotokea, namna alivyokuwa mchezaji wa soka. Watu watampatia thamani yake kubwa anayostahili.”
Ronaldo ameshatwaa mataji 5 ya ballon d’Or na mpaka sasa ameshaifungia Juventus magoli 69 katika michuano yote yangu alipojiunga nao.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Tatu
Ronald ni mchezaji aliyejipandisha nyota ya umaalufu mwenyewe kwenye soka kutokana na kiwango chake cha kucheza
Dorophina
Madrid kweli walifanya makosa makubwa sana kumuachia ronaldo saiz Madrid wangekuwa mbali sana
magdalena
madrid watamkumbuka sana ronaldo yaani hii inaitwa kuchezea shilingi katika tundu la choo
warda
Hata mie nilishangaa sana maamuzi yao haikuwa poa kumtoa Ronaldo#Meridianbettz
Elika
Ronaldo na atakumbukwa sana madrid
Shani
Perez alichangaia san kundoka kwa cr 7
Khadija
Ronaldo atakumbuka sana madrid
Salma ngende
Ni pengo kubwa kwao
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli Ronaldo ndio alio inyanyua Madrid kwamakombe yakila dizaini ila kwenye krabu kila mtu anaona anauwamuzi wake wakufanya natazidi kukumbukwa siku zote Madrid Ronaldo kwakazi yake aliyokuwa anafanya
Caroline
Haikupangwa awe Madrid
Hopemwaikuka
Ndo bas tena imepita hyo
Fatuma kasomo
Duh watamkumbuka
Angelina
Bonge la pengo
Zeiyana
Kuna wachezaji wengi kama Ronaldo nyuma ya panzia waitaji kuinuliwa ili waje waishangaze dunia hinakua si kitu kizuri kutazama sehemu moja kumtengeneza mtu kama mbadala wa Ronaldo hitaleta manufaa makubwa sana
Janeflora malisa
Kosa hil
Gabriel
makosa makubwa sana kumuachia ronaldo
aisha
Duuh majanga hayo ni lazima akumbukwe kwa kile alichokifanya
Issa
Cr anajua kaz yake
Povel
Nic upadte
Povel
Ni kwl ndo maana mzimu wake unawatafuta mpka leo pale Madrid
farida ahmadi
Ronaldo Yuko vizuri Sana
Sabrina
Madrid wanamkumbuka Ronaldo
Amiri Kayera
Mchezaji bola
lombo
sana
Saupha mohamed
Ronaldo anajua kiwajigika
felister
kila kitu kina mwanzo wake na mwsh wk
Mwajumah
Cr7 atakumbukwa sana real madrid
Venerose
Ronaldo yupo vinzur
David Pere
Nikweli Ronaldo ndio alio inyanyua Madrid kwamakombe yakila dizaini ila kwenye krabu kila mtu anaona anauwamuzi wake wakufanya natazidi kukumbukwa siku zote Madrid Ronaldo kwakazi yake aliyokuwa anafanya
Ernest
Nature ya mchezaji mwenyewe CR7 huwa hakai timu moja muda mrefu ndio sifa kubwa nyingine inayoongeza ubora wake kulinganisha na timu nyingine
Mariam mtandama
Sana
Mariam mtandama
Safi sana